Jamani Nipeni Polee!!

Jamani Nipeni Polee!!

Yaliyo nikuta leo ni makubwa nimepanda basi fulani kutoka Mwanza kuelekea Dar. Niliambiwa ndilo linaaminika. Tulipofika Shinyanga disck za tairi la mbele zikawa zimeharibika. mafundi walitumia masaa mawili kufix ze problem.

Tumefika Singida ze same thing happenned mpaka wa saa huu tuko Singida tunasubiri mafundi wafix tatizo.

Hapa kufika kesho badala ya saa mbili usiku.

Pole mkuu.... afu mbona hukupita Ndabaka???
 
ndio tatizo la kusafiri kimya kimya.......nimepita hapo muda si mrefu naelekea Dar na nipo na private car....only 2 people in the car......
hebu msubiri basi achukue boda boda akufukuzie!!hope hujafika mbali sana!!kwani ile kona ya mohamed mshapita?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom