Nokia83
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 24,643
- 44,371
T was jst a simple qn...ungejibu ungejua kwann umeulizwaThat's personal..vpi kwani?
T was jst a simple qn...ungejibu ungejua kwann umeulizwaThat's personal..vpi kwani?
Swahiba... siko interested na hii post yako... bali muda uliopost. Hakyamama hii JF ina addiction mbaya sana...
Hujambo lakini?
Tafazali usiniite "mkuu".
Duuh unaniogopesha mkuu! mimi nilishapiga test no.1 najiona nipo fit kumbe bado tu sijaiva! aiseePole unapaswa kutendwa kama mara tatu then utakuwa perfect, chukulia hio kuwa ni test number 1, subir test nyingine 2. Then oa utakuwa vizuri tu.
Kua uyaone, mana hata nikielezea sijui kama utaelewa,vitu vingine mtu unaelewa ukishavipitiaMapenzi yana mwisho....kama mtu anakufanyia mambo haya unaendelea vp kumpenda?
Moyo wangu hauna nafasi nyingine pale unapoumizwa basi yanaisha hapohapo
Mm nina uhakika nmekua zaidi yakoKua uyaone, mana hata nikielezea sijui kama utaelewa,vitu vingine mtu unaelewa ukishavipitia
Oky byeeeMm nina uhakika nmekua zaidi yako
Ahsante mi nilikuwa napenda kumuona akiwa na furaha siku zote na sikutaka kabisa kumchanganya na ma dem wengineYaan jamn wengine tunavyoomba tupate wenza waelewa na wenye mapenzi..wengne wanapata bahati wanazichezea..aisee,,me nkiskia mkaka analalamika vtu kama hvi roho yangu inaumia jamn.!! Hvii wapo wa aina hiii?! ..najuaga wanaume wana ki-idea kwamba wanawake wamejaa watapata wanaemtaka..pole mwayaa!!
Asantee ila sometimes nikifikiria mambo tuliokuwa tunafanya eti sasa hivi alie kuwa mke wangu mtarajiwa alifungiwa geto wiki mbili analiwa.. Tena mchana na usiku labda hapo ndo huwa napata wakati mgumu kumsameetafuta pesa na jaribu kusali sana au amua kuwa player ila tumia condom
Wakikuuliza tena wambie ukweli halisi mkuu.Good idea.. Tatizo nikiulizwa na ndugu zake vipi mwenzio mzima? Nashindwa hata kujibu maana ni aibu tupu
Kila kitu hutokea kwa sababu la msingi mshukuru mungu kwani huwezi kujua amekuepushia nini na huyo binti mwache aende zake hakua muaminifu omba mungu akuondolee roho ya chuki dhidi yake wekeza kwenye mambo yako ya msingi ni mapito wengi tumepita huko amini utasahau na utapita salama katika kipindi hiki kigumNajishughulisha na ufugaji wa kuku lakini pia nafundisha vijana wa pre form five tuition.. Nimemaliza chuo mwaka jana so bado sijapata ajira rasmi... Ni kweli yaani nimejaribu kuingia kwenye relationship na binti flani hapa mtaani lakini ikabidi nimuache tu.. Sina hisia kabisa na hata nikimpigia simu nikamkuta yupo busy basi nafkiria mbali sana na kuhisi na yeye ni wale wale ikabidi nimuache tu
Umenikumbusha jamaa mmoja alikuwa na wanawake wa3 na wakamuacha wote kwa mkupuo, sijui walifahamiana!! Jamaa na umalaya wake wote lakini ilimuuma.Mwanaume kuumizwa na mwanamke ni uzembe. Haya maua yamejaa tele... hili likinyauka unachuma lile.
Ndo ujinga huu wa watu kujifanya wasafi. Mwanaume unapaswa uwe na mademu watatu angalau... Huyu akileta fyoko unakuwa tayari una back up.