Jamani nifanye vipi nisimchukie?

Jamani nifanye vipi nisimchukie?

Unashindwa kumsamehe kwasababu ulimpenda sana, na katika kumpenda uko ulipenda kiboya boya.

Kwa taarifa yako mwanamke hapendwi kiboya boya kama wewe unavyodhani.

Kakupa namba za mwanaume mwenzoi kwa sababu ulikuwa boya wa boya.. jifunzeni kitu kwanini mnalia lia kiboya?
 
Mwanaume kuumizwa na mwanamke ni uzembe. Haya maua yamejaa tele... hili likinyauka unachuma lile.

Ndo ujinga huu wa watu kujifanya wasafi. Mwanaume unapaswa uwe na mademu watatu angalau... Huyu akileta fyoko unakuwa tayari una back up.
Na huyo shemela wetu pia alikua na back up yake iliompa mimba
 
Hili ndo Tatizo la kuanza mapenzi mwaka wa 3 chuo ,piga chini huyo demu asikuumize kichwa pia mademu walioko chuo wengi mizinguo sana tafuta WA mtaani tena mwenye shughuli zake achana na videmu vya chuo chuo bhana vitakupa stress tu.
Sijaanza mapenzi chuo mwaka wa tatu.. Huko nyuma nilikuwa na mahusiano lakini hayakuwa serious kama ya huyu.. Na huyu ndo tulitambulishana kwa ndugu zetu
 
Chanzo cha hasira zako ni nini??
Mara ya kwanza ilikua kuhusu mapenzi. Msichana akaniacha kituo cha basi, kama uko Dar pale Sinza Kijiweni ndipo nilipopokea kibuti changu.
Uchungu wa ghafla ukanishika gari likaja sijaangalia la wapi mimi nikapanda, rafiki yangu mmoja akaniwahi akaniambia "Castr hili gari siyo la (akataja ninapoenda)" nikaona aibu kuonekana sikudhamiria nikajibu "Naenda kushuka kwa Mtogole"

Kurudi nyumbani chakula hakipandi binti aliwahi kunipa cheni na zawadi nyingine nyingine nikavikusanya kesho yake naenda kumrudishia. Narudi home lakini bado sina raha nikaanza kusikiliza nyimbo nikawa napendelea hip hop.
Ikaja kuna siku nikashukia kituo kinaitwa Kanisani (Maeneo ya Kinondoni) nikiwa nakatiza vichochoro nikakuta eneo vijana wanajiita Jitambue Arts Group wakiwa wanafanya parody wimbo wa Papa Wemba Machozi, baada ya kuwaangalia nikavutiwa na gita, mimi nikawa naenda kama mdananda tu siyo mwanachama ila naomba kupiga gita.

Ikawa kila siku naenda kupiga gita baada ya wiki kadhaa nadhani binti akaona mbona jamaa yupo kimya akarudi tena, kwa baadhi ya watu ingekua ni ushindi au siyo? Kwangu ikawa kanikasirisha ikanibidi niende tena kupiga gita.
 
Mara ya kwanza ilikua kuhusu mapenzi. Msichana akaniacha kituo cha basi, kama uko Dar pale Sinza Kijiweni ndipo nilipopokea kibuti changu.
Uchungu wa ghafla ukanishika gari likaja sijaangalia la wapi mimi nikapanda, rafiki yangu mmoja akaniwahi akaniambia "Castr hili gari siyo la (akataja ninapoenda)" nikaona aibu kuonekana sikudhamiria nikajibu "Naenda kushuka kwa Mtogole"

Kurudi nyumbani chakula hakipandi binti aliwahi kunipa cheni na zawadi nyingine nyingine nikavikusanya kesho yake naenda kumrudishia. Narudi home lakini bado sina raha nikaanza kusikiliza nyimbo nikawa napendelea hip hop.
Ikaja kuna siku nikashukia kituo kinaitwa Kanisani (Maeneo ya Kinondoni) nikiwa nakatiza vichochoro nikakuta eneo vijana wanajiita Jitambue Arts Group wakiwa wanafanya parody wimbo wa Papa Wemba Machozi, baada ya kuwaangalia nikavutiwa na gita, mimi nikawa naenda kama mdananda tu siyo mwanachama ila naomba kupiga gita.

Ikawa kila siku naenda kupiga gita baada ya wiki kadhaa nadhani binti akaona mbona jamaa yupo kimya akarudi tena, kwa baadhi ya watu ingekua ni ushindi au siyo? Kwangu ikawa kanikasirisha ikanibidi niende tena kupiga gita.
Aisee mkuu umenipa njia sahihi ya kupambana na stress.. Daaah umetisha sana mkuu
 
Wengine wana theory kwamba kabla mwanamke hajaenda chuo zalisha lakini kwa hili la kwako inaonekana wameanza kitambo kabla hata ya chuo.
Hata ukizalisha haisaidii kama tabia ya mtu ni mbovu maana wapo wanaokwenda chuo na ndoa wamefunga na mtoto kaachwa nyumbani lakini anafika mambo yanabadilika na pete wanavuaaaa tupa kuleee nimeyaona kwa watu wawili wa karibu sana na mimi
 
Sasa huyo sahihi sijui ntamjuaje maana hata huyu mwanzo alinipenda sana.. Nlikuwa nashangaa kwanini watu wengine hawataki kuoa.. Sasa nahisi na mimi naelekea huko huko
Mshirikishe Mungu, relax katika mapenzi na ukiona miezi sita imepita hamna matatizo basi huyo ni wa kuoa.
 
Pole unapaswa kutendwa kama mara tatu then utakuwa perfect, chukulia hio kuwa ni test number 1, subir test nyingine 2. Then oa utakuwa vizuri tu.
Duuh mara tatu??
 
Yaan jamn wengine tunavyoomba tupate wenza waelewa na wenye mapenzi..wengne wanapata bahati wanazichezea..aisee,,me nkiskia mkaka analalamika vtu kama hvi roho yangu inaumia jamn.!! Hvii wapo wa aina hiii?! ..najuaga wanaume wana ki-idea kwamba wanawake wamejaa watapata wanaemtaka..pole mwayaa!!
 
Yaan jamn wengine tunavyoomba tupate wenza waelewa na wenye mapenzi..wengne wanapata bahati wanazichezea..aisee,,me nkiskia mkaka analalamika vtu kama hvi roho yangu inaumia jamn.!! Hvii wapo wa aina hiii?! ..najuaga wanaume wana ki-idea kwamba wanawake wamejaa watapata wanaemtaka..pole mwayaa!!
Kwan ww huna bf?!
 
Hujawahi kupenda
Mapenzi yana mwisho....kama mtu anakufanyia mambo haya unaendelea vp kumpenda?

Moyo wangu hauna nafasi nyingine pale unapoumizwa basi yanaisha hapohapo
 
Mwanaume kuumizwa na mwanamke ni uzembe. Haya maua yamejaa tele... hili likinyauka unachuma lile.

Ndo ujinga huu wa watu kujifanya wasafi. Mwanaume unapaswa uwe na mademu watatu angalau... Huyu akileta fyoko unakuwa tayari una back up.
Wacha we...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom