Jamani niende au nisiende? msaada....

Jamani niende au nisiende? msaada....

Going Concern

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2011
Posts
1,071
Reaction score
1,213
Nimepata kazi mwanza, kama accountant, ndo kwanza wanaanza business, tatizo ni salary, wanatoa 500,000 kama take home. imenivunja nguvu, niko njia panda, kwenda au kutokwenda.... msaada.
 
hebu npe hilo dili kuna mshikaji hana kazi hata 300000 anakubali
funguka mkuu kuna watu weanatafuta
 
Kizazi cha .com kutoka tu chuoni wanataka mshahara wa milioni 1 namnukuu ray wa bongo movies katika movies zake huwa kuna neno anapenda sana kulisema neno lenyewe ni "pumbaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaavuuuuuuu"
 
Nimepata kazi mwanza, kama accountant, ndo kwanza wanaanza business, tatizo ni salary, wanatoa 500,000 kama take home. imenivunja nguvu, niko njia panda, kwenda au kutokwenda.... msaada.
kwenye taasisi binafsi au?
 
Mwanzo siku zote mgumu.kama kwa sasa hauna kazi ni bora ukaenda alafu dill jingine laweza patikana ukiwa job.
Na unaweza ukawa unaishi kwa shem yako hapo ulipo alafu utaki kwenda chukua 500000.shauri yako.
 
napata mashaka na uwezo wako wa kufikiri.
Laki 5 ndo inakuvunja moyo,watu tulianza kazi na laki 3 na hatukuwa na wenyeji lkn tuliishi.
Anyway,fanya ambacho moyo wako unataka.
 
Kuna mwingine analalamika hapa eti kapata kazi serikalini but wamempanga wilaya ya masasi..

Anaogopa hadi panyabuku amesikia huko watu wanakula panya anataka kulia halafu ni Mwanaume eti.. Yaani nimecheka hadi nimetaka kuanguka.

Kizazi cha dijitali kina vituko mbaya
 
ww mbulula kwel wangu:A S angry:
usiende bas nipe mm hyo fursa nkuonyeshe,acha bwana mbwembe nenda.
 
nimepata kazi mwanza, kama accountant, ndo kwanza wanaanza business, tatizo ni salary, wanatoa 500,000 kama take home. Imenivunja nguvu, niko njia panda, kwenda au kutokwenda.... Msaada.

usiende!!!...
 
Nimepata kazi mwanza, kama accountant, ndo kwanza wanaanza business, tatizo ni salary, wanatoa 500,000 kama take home. imenivunja nguvu, niko njia panda, kwenda au kutokwenda.... msaada.
kaongezee huo uzoefu kwenye CV uongezee na chumvi kibao itakusaidia kupata kazi inayolipa zaidi hapo baadae.
 
ww mbulula kwel wangu:A S angry:
usiende bas nipe mm hyo fursa nkuonyeshe,acha bwana mbwembe nenda.

then nikifika mwanza naanza kukaa kwa demu wako au? mi shida yangu ntaanzaje maisha mwanza mpaka ntapokuja kusimama kabisa ....
 
Kuna mwingine analalamika hapa eti kapata kazi serikalini but wamempanga wilaya ya masasi..

Anaogopa hadi panyabuku amesikia huko watu wanakula panya anataka kulia halafu ni Mwanaume eti.. Yaani nimecheka hadi nimetaka kuanguka.

Kizazi cha dijitali kina vituko mbaya
huko acha tu wadai gesi yao labda itasaidia mji kukua na watu hawataogopa kwenda kufanya kazi huko, vinginevyo unaweza usiamini jinsi watu wanavyoishi kwa jinsi kulivyokosa huduma bora za jamii.
 
Back
Top Bottom