GreatMkubwa
Member
- Jun 25, 2012
- 99
- 57
we hujielewi wewe.... au labda unatukejeli tuu,.. we ulitaka ulipwe ngapi hasa? andika hapa sasahivi
kwani kazi unafanyia ndugu au tayari una kazi nyingine...... maisha mwanza sio magumu kiivyo 500000 mbona unaishi poataasisi binafsi mkuu, kumbuka mwanza sina ndugu...
hayo sio matusi ni ukweli mtuppuNna mashaka kama akili yako ipo sawsawa.....afu hivi wewe ni mwanaume au mwanamke?
Kama wewe ni mwanaume .....kwa point uliiyiandika hapo juu.....mkeo ajipange.....
yaani paka leo unategemea ndugu?? kweli?
Acha utoto wa mama...ushakua sasa hivi.....ebo!![[/QUOTE]QUOTE=Mayombo;5472806]thanx kwa matusi ndugu, mungu akuzidishie...
Nimepata kazi mwanza, kama accountant, ndo kwanza wanaanza business, tatizo ni salary, wanatoa 500,000 kama take home. imenivunja nguvu, niko njia panda, kwenda au kutokwenda.... msaada.
Kuna mwingine analalamika hapa eti kapata kazi serikalini but wamempanga wilaya ya masasi..
Anaogopa hadi panyabuku amesikia huko watu wanakula panya anataka kulia halafu ni Mwanaume eti.. Yaani nimecheka hadi nimetaka kuanguka.
.
Kizazi cha dijitali kina vituko mbaya
Nimepata kazi mwanza, kama accountant, ndo kwanza wanaanza business, tatizo ni salary, wanatoa 500,000 kama take home. imenivunja nguvu, niko njia panda, kwenda au kutokwenda.... msaada.
Ikiwa kweli una nia ya kufanya kazi nakushauri usiache hiyo nafasi ndugu coz itaongeza uzoefu wako wa kazi ili kwenda juu zaidi. Pa kuanzia maisha hlo ni jambo la kuzungumza na hyo kampuni before you attend ili wakufanyie accom then utapata marafiki na mambo yatakuwa mazuri please make sure u don forget your GOD.
Kwanza Mkuu ni wapi umepata hiyo Job? Isijeikawa ni sehemu hata Website hawana.
Hee wewe unacheza na maisha unataka kulipwa shilling ngapi labda? na unavyo sema Mwanza huna ndugu una manisha nini mi nlikuja dar na laki 3 nikawa na kaa hostel na wanafunzi wa chuo kama mwanfunzi bada ya miezi kadha nigapanga makumbusho na ndipo napo kaa hadi sasa nina ndugu lakini cja angaika na hata mmoja huu ni mwaka wangu wa 7 dar cja rudi nyumbani wala kuomba hela ila mimi ndio natuma hela.embu kafanye kazi uko ,;YOU CANT BE RESPONSIBLE ON ANY THING IF YOU CANT MAKE SOMETHING OUT OF THE LITTLE YOU HAVE DUE TO FEAR OF RESPONSIBILITIES AND LIFEtaasisi binafsi mkuu, kumbuka mwanza sina ndugu...
nyie watoto nyinyi!!! yani 500,000 unadai inakuvunja moyo? unatka uanze na shilingi ngapi? me naona hii post yako inalenga kuwakejeli hopeless jobless wa humu jamvini
Nimepata kazi mwanza, kama accountant, ndo kwanza wanaanza business, tatizo ni salary, wanatoa 500,000 kama take home. imenivunja nguvu, niko njia panda, kwenda au kutokwenda.... msaada.
Una umri gani weye mleta mada?
Nakushauri uende kufanya kazi,mengine yatafuata,Kazi ni kipimo cha utu!Nimepata kazi mwanza, kama accountant, ndo kwanza wanaanza business, tatizo ni salary, wanatoa 500,000 kama take home. imenivunja nguvu, niko njia panda, kwenda au kutokwenda.... msaada.