Jamani niende au nisiende? msaada....

Jamani niende au nisiende? msaada....

cdhan
kama
uko
serìous,
otherwise
una
kazi
nyingine,
me
nakushauri
nenda.
 
subiri bas za dar uoneeee!!!!!!!!!!!!!!!!unataman kupishana na kibakul cha gold kaka?haba haba hujaza kibaba.
think twice!!!!!!!!!!!!! hazjag mara mbili i tel you bro!
 
zingatia kazi inaitwa White color job. Nenda kapige mzigo. Marupurupu hukosi hata kwa bosi utakaa uanze maisha. Nenda kazi ni ngumu xna kupata.
 
fanya kwenda maana msomi atoshindwa kujiendesha mwenyewe.mfano: ungekuwa umepata mchongo nje ya Nchi kama marekani,uingereza ungesema huna ndugu??.. jipange maisha hayamulikwi na tochi.
 
Hiv kuna watu mnamatatizo sana, mim nilianza kaz na laki 3,tena ktk mkoa ambao sina ndugu wala sehemu ya kufikia, leo napata zaid ya milion moja, we endelea kuringa , alafu hauna uzoefu wowote.Wenzio wachukue hiyo kazi alafu uje kuwaona baada ya two year walivyokuwa mbali
 
taasisi binafsi mkuu, kumbuka mwanza sina ndugu...

Nna mashaka kama akili yako ipo sawsawa.....afu hivi wewe ni mwanaume au mwanamke?

Kama wewe ni mwanaume .....kwa point uliiyiandika hapo juu.....mkeo ajipange.....

yaani paka leo unategemea ndugu?? kweli?

Acha utoto wa mama...ushakua sasa hivi.....ebo!!
 
ushauri wangu kati ya hivyo vitatu yaani NIENDE, AU, na NISIENDE chagua AU. ndo nzuri.
 
Nna mashaka kama akili yako ipo sawsawa.....afu hivi wewe ni mwanaume au mwanamke?

Kama wewe ni mwanaume .....kwa point uliiyiandika hapo juu.....mkeo ajipange.....

yaani paka leo unategemea ndugu?? kweli?

Acha utoto wa mama...ushakua sasa hivi.....ebo!!

thanx kwa matusi ndugu, mungu akuzidishie...
 
taasisi binafsi mkuu, kumbuka mwanza sina ndugu...

Are you serious? Graduate mzima unazungumzia ndugu? Bila shaka sasa unaishi kwa baba/mama/ndugu sio? Sasa usipopata kazi unayoitaka kwa miaka mitatu (I dare you wapo wengi tu wa aina hiyo) utaendelea tu kukaa hapo, una amini watatkua wanakuchekea tu? Grow up dude! Hata kama siku hizi mnamaliza shule bado watoto, but I expected a 20-year old boy to solve this without any help!
Achana na hiyo KAZI uone ilivyo KAZI kupata KAZI nyingine huku ukiwa huna KAZI!
 
Nimepata kazi mwanza, kama accountant, ndo kwanza wanaanza business, tatizo ni salary, wanatoa 500,000 kama take home. imenivunja nguvu, niko njia panda, kwenda au kutokwenda.... msaada.

wewe nenda utajua huko huko lakini kama hutaenda acha kabisa kusaka kazi maana kazi zote ni za laki 5 wewe hufai kufanya kazi nenda ukalime:israel:
 
then nikifika mwanza naanza kukaa kwa demu wako au? mi shida yangu ntaanzaje maisha mwanza mpaka ntapokuja kusimama kabisa ....

Nina wacwac na uanaume wako! Mwanaume gani unaogopa maisha? Kuna watu wanatoka vijijini kwenda mijini kutafuta maisha bila hata senti tano na wanayaanza maisha na kufanikiwa. Ila ckulaumu sana, hilo ndo tatizo la kuwa mtoto wa mama! Gangamala mtoto wa kiume, acha upopompo na upoyoyo.
 
acah ujinga ww hebu nenda kafanye hiyo kazi....au una kazi tayari?
 
Kabla ya kukushauri naomba nifahamu je wwe kwa sasa umeajiriwa?je una sehemu ambayo inakuingzia kipato kwa sasa hivi?
 
Ikiwa kweli una nia ya kufanya kazi nakushauri usiache hiyo nafasi ndugu coz itaongeza uzoefu wako wa kazi ili kwenda juu zaidi. Pa kuanzia maisha hlo ni jambo la kuzungumza na hyo kampuni before you attend ili wakufanyie accom then utapata marafiki na mambo yatakuwa mazuri please make sure u don forget your GOD.
 
napata mashaka na uwezo wako wa kufikiri.
Laki 5 ndo inakuvunja moyo,watu tulianza kazi na laki 3 na hatukuwa na wenyeji lkn tuliishi.
Anyway,fanya ambacho moyo wako unataka.

Elfu 85 nilianza nazo na sasa Mungu ameniwezesha siko vibaya baada ya kuvumilia miaka 8. Lazima kuwepo mahala pa kuanzia kwani hata JK alianzia na cheo cha mkuu wa Wilaya na Obama alikuwa Seneta. Mnataka kuleta mambo ya kumkufuru Mungu hapa?
 
Nimepata kazi mwanza, kama accountant, ndo kwanza wanaanza business, tatizo ni salary, wanatoa 500,000 kama take home. imenivunja nguvu, niko njia panda, kwenda au kutokwenda.... msaada.

yaani wewe hapo majuzi ulikua unasema upo tayari kwa kaz yeyote malipo yeyote hapa leo hii unaomba ushauri wa kupokea laki tano? hebu acha kuwavunja wenzako moyo, kwanza hakuna kitu kama hicho ungekua umeshakimbia siku nyingi umeamua tu kufurahisha watu hapa.
 
Back
Top Bottom