Jamani niende au nisiende? msaada....

Jamani niende au nisiende? msaada....

Nimepata kazi mwanza, kama accountant, ndo kwanza wanaanza business, tatizo ni salary, wanatoa 500,000 kama take home. imenivunja nguvu, niko njia panda, kwenda au kutokwenda.... msaada.

Usiende ufe na njaa
 
laki tano sio ndogo na sio sawa na kukaa bila kazi au bila kipato - nenda kafanye kazi ujenge maisha yako
 
kazi kupata ni ngumu sana wewe nenda usitake kuishi maisha ya kifahari katafute chumba kimoja cha kupanga anza kufanya kazi, ukizoea ofisi na mazingira fursa zingine zitakuja tu cha muhimu ni kufocus na kuishi kulingana na kipato
then nikifika mwanza naanza kukaa kwa demu wako au? mi shida yangu ntaanzaje maisha mwanza mpaka ntapokuja kusimama kabisa ....
 
Nimepata kazi mwanza, kama accountant, ndo kwanza wanaanza business, tatizo ni salary, wanatoa 500,000 kama take home. imenivunja nguvu, niko njia panda, kwenda au kutokwenda.... msaada.

Kama hawana allowance yeyote its too risk mkuu,utapata shida sana huko ugenini
lakini kama wana vi allowance unaweza kwenda tu,mwanza life is easy sana bob
 
hawa watoto wa siku hizi laana tupu. wanadekaaaaa!! sijui kwa vilehawakwenda JKT!!
 
Back
Top Bottom