gongolamboto
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 1,185
- 570
Nimepata kazi mwanza, kama accountant, ndo kwanza wanaanza business, tatizo ni salary, wanatoa 500,000 kama take home. imenivunja nguvu, niko njia panda, kwenda au kutokwenda.... msaada.
Usiende ufe na njaa