Mwanyamaki's Son
New Member
- Dec 29, 2012
- 3
- 0
unaambiwa hiv siku zote mwanzo huwa ni mgumu ndugu yangu yawezekana huko mbeleni utakuja kuongezeka kulingana na ufanyaji wako wa kazi so, nenda tuu ukaanzie na huo kwan ajira siku hizi ni ngumu sana hata kama umesoma mpaka chuo kikuu.