hii ni kwa kuwa hautembelei jukwa la jf dr.kule utapata tiba za dr riwa, mwanakijiji na wengineo kibao,mimi kwa kufuatia kule nimepata tiba ya mtoto ambae alikuwa alazwe kkwa ajili upasuaji kcmctarehe 4 mwezi huu.kama ukishindwa nipm nikupe kile kidogo nilichopata kule, achana na wasanii akina pdidy.pole sana mwaya.