Reginald L. Ishala
JF-Expert Member
- Jun 18, 2011
- 3,811
- 6,780
Mrejesho wa kazi yako ulikwendaje mkuu?
Jamani naomba msaada, nimeandaa bwawa nataka nifuge samaki.
Nisaidieni mbegu nzuri ya kufuga.
Kama uko mbeya mjini.. Nenda Iyunga kalobe, kuna jamaa anafuga sana samaki na ana hivo vifaranga vya kutosha
Atakushauri vizuri.kwenye Google map ukiangalia hiyo kalobe utaona location inaonekana