KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mimi aingii akilini kama hizi promotion ni zaukweli au magumashi nani mwenye rafiki au jamaa aliyeshinda Hyunda 100e,??mimi sijasikia kama kuna mtu aliyepata gari hizo zilizokuwa 100!je kweli kati ya hizo hakuna mwenye jamaa yake?Na hizi Tv za samsung?100Nani unamjua kapata?Mimi nawasiwasi kama kweli wanaendesha mashindano ya ukweli kama awaibii watu!!