MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,520
- 1,368
sasa ebu angalia Kakobe anavyopendeza na suti yake safi na Kitambi juu wakati waumini wake akina mama maskini yaani choka mbaya utadhani hawajapata msosi siku 3 hivi!
Wawe na uwazi kwenye mapato na matumizi yao wachekwe? Maana wakifanya hivyo wafuasi wao watagundua kama hawa jamaa nao ni mafisadi tu ambao wanaishi maisha ya hali ya juu kwa michango chungu nzima toka kwa waumini wao na wakati huo huo hawana unabii wowote ule ni wanafiki tu.
sasa ebu angalia Kakobe anavyopendeza na suti yake safi na Kitambi juu wakati waumini wake akina mama maskini yaani choka mbaya utadhani hawajapata msosi siku 3 hivi!
Naomba kueleweshwa tumeambiwa kuwa manabii karibu wote waliteremshiwa vitabu na Mmungu sasa huyu Nabii geor davie ameletwa au ameteremshiwa kitabu kipi?
Watu wakishindwa kukabiliana na Mazingira ya maisha hukimbilia kwenye imani, mie nabii mie nani. WIZI MTUPU
Dr umenipa link ambayo haijajazwa minofu........btw huwa sipendi nikiuliza swali napewa link...nataka uniambie wewe dr mtindio unaelewaje neno nabii......
Mwisho upi?
Acha kutisha watu! Hata miaka 1300 AD walisema ni wakati wa mwisho leo ni 2009!
Mtu ukushakuwa brain washed na dini you can not think beyond the box!
.
Imani yako ndio ikayo kuokoa au kukuangamiza! Nabii? Karnehii iliyo jaa wajanja na vituko vya kila aina kuna na bii kweli? ...Ndio waliwao.
Kila mtu ana haki yake ya msingi kuchagua vile apendavyo,kama dini aliyoridhishwa na wazazi wake imemboa,ruksa kuhamia nyingine kadri apendavyo,tuheshimu haki yake ya msingi ya kuchagua ali mradi havunji sheria.Kwanini tuchanganyikiwe? sidhani kama solution ni kuhama hama dini eti kwa vile una shida fulani unataka itatuliwe. Haya maisha magumu hayajaanza leo wala jana!
Kama una dini yako tulia nayo, uwe na imani kwa kila uombalo au unachokiabudu!
Naomba kueleweshwa tumeambiwa kuwa manabii karibu wote waliteremshiwa vitabu na Mmungu sasa huyu Nabii geor davie ameletwa au ameteremshiwa kitabu kipi?
..nasikia kuna wengine wana kanisa lao linaitwa la Watakatifu waliopo duniani. Inakoelekea kuna mashindano pia ya kutumia vivumishi vya sifa kwenye majina na vyeo vya wahubiri wao. ni lazima kila mmoja awe askofu, nabii, mtume?[/QUOTE]
Hapana sio lazima,na nadhani miongoni mwa watanzania Million 36,hawazidi ata Million 1,hivyo wapo sawa kwa kigezo hicho!!