Is this the same nabii that sold photocopies of his hand print in Kisongo? Preaching seems to be a lucrative business venture these days, do churches pay tax? I wonder why these "crusades" do not go to impoverished parts of Tz where the gospel hasn't been as well spread as in the big towns, I'm sure that's how Jesus would've wanted it done. It is written "Many will come in my name..."
Nabii? Dah, haya bwana!
kweli Jocyeline wewe ni muuminimtiifu wa ngurumo.
Ila tazama sana maneno yako manaana unapotosha uhalisi wa neno la Mungu. Inaonekana unashabikia miuujiza kuliko injili yenyewe. Pia umesahau au hujasoma kuwa Biblia inasema tujaribu kila roho. Pia kuwa sio wote wanaotumia jina la Yesu ni wa kwake. Sijajua unasimamia nini unaposema tusimtazame mtu ili mradi anatumia jina la Yesu.
Hebu nieleze:
Umeshawahi kuona wapi nabii katika neno la Mungu anajiita au aliintwa MHESHIMIWA?
Ulishawahi kuona ua kusikia wapi mtumishi wa Mungu anatembea kwa king'ora cha polisi a kujitafutia makuu hadi kwenye palte number za magari?
Kule arusha ngurumo alichota watu maelefu kwa maelfu. matajiri na watu wa ICTR walikua wanajaa kwenye ibada zake. Ni wapi kuwa alikua anapata pesa nyingi sana na ndizo zilikua zinamwezesha kutembea kama president na walinzi na magari kibao. Sasa ilikuwje akashindwa kununua kiwanja cha kanisa kwa muda wote huo karibu miaka mitano sasa? Pesa zilikua zinakwenda wapi na kufanya nini?
Wale aliokua amewajaza kwenye kanisa lake kule Arusha kamwachia nani?