MzalendoHalisi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2007
- 4,520
- 1,368
Nimeisoma thread nzima na napenda kuchangia ifuatavyo:
1) tujue tuko katika nyakati za mwisho - nyakati ambazo maasi yameongezeka kwa kiwango cha juu - always - maasi yanapoongezeka, neema ya Mungu inaongezeka - hence miujiza imeongezeka kutokana na kiwango cha maasi Mfano - siku hizi utasikia watoto wadogo ni wachawi, watu wanauana kwa kutaka utajiri - (the case of Albino killing) - enzi za zamani hayakuwepo.
- so mchawi anapoku-chawia ukapata janga - basi hapo Mungu anaingilia kati na unapona kimiujiza - instantly - kwa jina la Yesu
2) Katika Biblia - imeandikwa kwamba Mungu alishusha HUDUMA TANO - ambazo ni a) Wachungaji b) Waalimu c) Mitume d) Manabii e) Wainjilisti
na pia Ndani ya Roho Mtakatifu kuna KARAMA i.e. - uponyaji, miujiza, kunena kwa lugha, Neno la Maarifa, Hekima, Tafsiri za Lugha, Kupambanua roho, unabii - hizi zote ni kwa ajili ya kuwajenga watu wa Mungu na kuujenga mwili wa Kristo.
3) Hatuingii mbinguni kwa kazi tufanyazo tu - bali kwa kumwamini Yesu na utakatifu - Wagalatia 5:22 - Tunda la Roho ni upendo, furaha, amani, uvumilivu, utu wema, fadhili, uaminifu, upole, kiasi - na TUNDA LA MWILI NI UASHERATI, UCHAFU, UFISADI, IBADA YA SANAMU, UCHAWI, UADUI, UGOMVI, WIVU, HASIRA, FITINA, FARAKA, UZUSHI, HUSUDA, ULEVI, ULAFI, na mambo yafananayo na hayo na watu watendao hayo KAMWE HAWATAURITHI UFALME WA MUNGU
3) Mungu ni ROHO - inabidi kumwabudu katika ROHO na KWELI - hachunguziki kibinadamu au akili za mwanadamu - so miujiza yake ni ya ajabu kwani yeye pia ni wa AJABU - alituumba kwa ajabu, anatuita kwake kiajabu etc. so be in spirit - otherwise you will end up questioning Gods work for the rest of your life.
BE BLESSED ALL
Mwisho upi?
Acha kutisha watu! Hata miaka 1300 AD walisema ni wakati wa mwisho leo ni 2009!
Mtu ukushakuwa brain washed na dini you can not think beyond the box!