Jamani msaada wa ushauri,nimelala na mme wa dada yangu

Jamani msaada wa ushauri,nimelala na mme wa dada yangu

Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
We Malaya umeona umsaliti dadako ss ndo tutakupa ushauri utaelewa kwel?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
Wewe Subiri dada yako aludi akuchane na wembe usoni.
 
IMG_7963.JPG


Karibu kinywaji
 
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
[emoji860][emoji860][emoji860]bibie una umri kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
Mimi huwa nawasaidia ndugu wakiwa hukohuko uchochoroni kwao, kwagu naishi na watoto wangu na mume wangu, ukiendekeza ndugu nyumbani kwako aidha watawafanyia ukatili watoto wako au watakuvunjia ndoa yako period

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nina uhakika Dada yako hawezi kuambiwa, Mapenzi ndio yalivyo kuna kipindi unaingia sehemu ambayo hata hukutegemea... Ni siri tu za watu.. Hongera kwa kuburudisha ka nafsi
 
Yaani hii kitu inaonekana mliplan siku nyingi tu maana hata hujutii, usisingizie kilevi maana hukushikiwa bunduki.
We mwambie tu dada yako ukweli, kitakachofuata baada ya hapo tuletee mrejesho.
 
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
Daaah wew dada kwel mjanja,yaan umeweka tangazo indirect ili wenye macho wasione ila wenye akili waelewe,uko vzur kweli baba Janeth(mjomba) anatusulubisha vichwa ili tupambanue njia ya kujipatia kipato,hapa kaz tu
 
Back
Top Bottom