Jamani msaada wa ushauri,nimelala na mme wa dada yangu

Jamani msaada wa ushauri,nimelala na mme wa dada yangu

Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
Ntumie namba yako npm nitakupatia mtaji. Jitahidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
Kwanza utueleze, je kati bw wako na shemeji yako nani ni fundi zaidi......

Ukigundua shemeji yako ni fundi zaidi basi mpige chini basha wako kisha kula vya shemeji na dada akirudi mwambie tu mko wawili ktk kula sahani moja la peremende

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom