Jamani msaada wa ushauri,nimelala na mme wa dada yangu

Jamani msaada wa ushauri,nimelala na mme wa dada yangu

Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
Ninalo jibu zuri sana ambalo ukimwambia tu dada yako atakusamehe na kukupongeza sana, na pengine mtaji utapata siku hiyo hiyo hata mara mbili yake, ila tu jibu hilo siwezi kukupa hapa wala pm, ni mpaka tukutane live. Kazi kwako.
 
Hayo si muda wake hapa nshachanganyikiwa
Dada watu wanataka kuunganisha dots ukiona hivyo ujue kuna sehemu wanawasiwasi na wewe, mfano ukikataa kujibu hapa hujui kwamba wanataka kuuliza kwanini hujahofia mmeo unahofia dada yako.. Na unahofu tu kisa kakuahidi mtaji!!! Je kama ulivyodai mwanzo kwamba una mme kwann uombe mtaji kwa dada yako badala ya mme wako?? Mwisho kwenye hili tukio binafs nasema ulitenda ukiwa na akili timamu haiwezekani shemeji shako huyo ajikute anakupa kilevi tu bila ww kutengeneza mazingira hapo KABLA.... Dada wewe usipate tabu ya kulalamika hilo ulizamilia kabisa na ninauhakika kuna mazingira ya muda mrefu uliyatengeneza kumuibia dada yako mme wake.... Wacha aambiwe ili upate kujifunza adabu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
UNAOMBA USHAURI USAIDIWE AU UNAOMBA UONGO???? MBONA KAMA UNA MAHITAJI MAWILI KWA WAKATI MMOJA, LA KWANZA UNAOMBA JIBU LA PILI JINSI YA KUMDANGANYA. KUWA SPECIFIC KWENYE KILE UNACHOOMBA, KAMA NI UONGO OMBA USAIDIWE UONGO KAMA NI USHAURI SEMA PIA UPEWE JIBU.
 
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
Njoo nikupe mtaji kama ntakuelewa. Nijie pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
Mwambie shemeji yako akusaidie huo mtaji achana na dada yako..akili za usiku hizi
 
Kwahiyo bado upo au umeondoka?kama bado upo itakuwa ulidhamiria na kiuhalisia wewe kwenye mahusiano utakuwa ni mchafu...
 
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
Sema kwanza hapa kabla ya kukushauri,vipi huyo shemeji yako ulipenda mgegedo wake?maana kama alikidhi mtima wako naamini bado utampa tu,hivyo uamuzi unao wewe
 
Alafu hiyo kitu ipo sana, ila cha ajabu ngumu sana kukuta dada mtu kulala na mume wa mdogo wake,
Ila mume wa dada kulala na mdogo wa mke wake ni rahisi kweli wengi wameshapitia hayo!
 
Kama akikuuliza, Mwambie Samahani Dada, ni kweli ila haikuingia yote Aliingiza kichwa tu...
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo aina tatizo wala.Dada ako akimuacha si unamchukua tuuu.Ama vipi?
 
Back
Top Bottom