thanos
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,118
- 1,179
Tangazo limepata wateja, acha avimbe kichwa.
Nyege noma sana zisikie kwa mwenzio tu....Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,
Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,
Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
Muongo huyo mpotezeeDuuh,,,,but mwambie ukweli dada yako kuliko ajue kabla ya ww kumwambia na uyo Shem ndo akupe huo mtaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoooo nikupe Mimi ule Mtaji dada alitaka akupeNi jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,
Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,
Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
Fala sana huyu demu...katombesha kwa makusudi anaanza kutuletea habari za kaluma kengee...
Hivi inamsaidia nini sasa?Yes yes.
Nimeangalia profile yake kuna thread nyingi za kutunga anaweka.
Na ngoja dada yake arudi... ndo atajua kua mume wa mtu sumuFala sana huyu demu...katombesha kwa makusudi anaanza kutuletea habari za kaluma kengee...
Sent using Jamii Forums mobile app
Na atabeba mimba kwa makusudiii..[emoji15][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kuna dada ngu aliolewa sasa mdogo wake wa kike akawa anaenda kwake lakini kutwa Kushinda na Khanga na Vinguo vifupi... Maza alimzingua kinyama mpaka akaacha kuvaa kipuuzi..