Jamani msaada wa ushauri,nimelala na mme wa dada yangu

Jamani msaada wa ushauri,nimelala na mme wa dada yangu

Kuna siku waifu alisafiri siku nikarudi om nimetundika vyupa vya kutosha nafika nyumbani namkuta mdogo wake seblen kajiachia tu anachek movie

Pombe sio chai ikanituma nimshushie mistar mtoto wawatu kakata kataa mwishowe akawa kama anaelewa nikawa navutia chumban tena tunacholala na wife..

Kama bahati akaniambia nimsubir chumban anakuja ile kujilaza tu pombe+usingizi zikanipeleka kwenye usingi mzito...sijui alikuja au hakuja maana ata angekuja nisingemsikia tena..

Asubuhi naamka nikakumbuka tulivyokua tunavutana vutana na maneno niliokua namwambia duuh; niliona aibu mbaya..fasta nikajiandaa nikatoka mapema kabla ajaamka yy

Ikawa kila nikifika nyumbani nakula wa mbuzi na siongei na mtu Mara mbili mpaka alivyorudi wife na ili kumuonyesha kilichotokea ilikua bahati mbaya kuna siku Dada yake akamdaka na simu kuja kuambiwa nikamjia mdogo mtu juu kua ameanza umalaya wakati ni mwanafuzi

Nilimlamba vibao vitatu vya nguvu bila uruma ukawa mwisho wa mazoea na heshima ya baba mwenye nyumba ikarudi sehemu yake! japo mpaka Leo wife anafikiri adhabu ilikua ya ile simu

Ila kwa jinzi mdogo wake alivyonikata jicho najua alielewa...hii kitu ni mbaya sana nashukuru ile dhambi iliniepuka japo nyingine nafanya. [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa nawasaidia ndugu wakiwa hukohuko uchochoroni kwao, kwagu naishi na watoto wangu na mume wangu, ukiendekeza ndugu nyumbani kwako aidha watawafanyia ukatili watoto wako au watakuvunjia ndoa yako period

Sent using Jamii Forums mobile app
well said...
Duuuuuh!! Wee ni mzawa au Mwaraabu?? Maana hizo tabia za kiaarabu!!!
 
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
Naomba niku PM
 
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
Kwa nini umdanganye? Mweleze ukweli tu!!! Au uje nikupe dawa ambayo itamfanya Dada yako asimwamini huyo rafiki yake kama ataamua kumwambia, ila unipe mbunye niibandue kama malipo.

kutoka: 22D Arnold st.
 
Hii chai sukari yake haijakolea..karudie tena ndio itanoga na huyu mtu atasema ..
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mm naomba kidogo, kilevi kipo pia
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa s
Ni jana hiyo dada kasafiri mme wake kaja kanishawishi sana , bahati mbaya nikapewa kilevi tukafanya, mbaya zaidi rafiki yake dada katuona lodge ,

Nifanyeje jamani yan dada ana mpango wa kunisaidia mtaji mimi,

Naomba akili ya kumjibu naomba ushauri wenu jinsi ya kumdanganya
Kwa sababu ulilewa ndio ukafanya nakushauri dada akirudi we ulewe ndio umjibu
 
Back
Top Bottom