Katika safari ya maisha usijaribishe kaza uzi ili ufanikiwe unako kwenda
mkuu huu ni ujumbe, sms au jina la kanga? eniwei karib bana.Katika safari ya maisha usijaribishe kaza uzi ili ufanikiwe unako kwenda
Kwahiyo?...umeona tunajaribisha eeh?
Kivipihuyu naona kaja vibaya.
Karibu lakini.
Huyo jamaa amehama dunia labda,hajaonekana humu toka March 14,2011.Karibu tena sana JF babu mwenzangu hapa kwa GT ufaidi.