Uliza salio kupitia NMB Mobile. Walimu buana!Kama kunamtu yuko karibia na NMB mjini atufahamishe ili nasisi Walimu WA KANADI SIMIYU tuelewe.
Alafu watu wanawatumia maticha kutimiza hitaji lao, hivi teacher na mtu wa masijala nani pale halmashauri nani mwenye njaa? Mtoa uzi wacha kudhalilisha kada za watu, kwani usingesema neno Mwl swali lako lisingejibiwa?Wewe Hute naona kuna kitu umepungukiwa
Kweli tayali?tayari!
Wanajiendekeza tu, wapo watumishi wana mishahara midogo kuliko walimu lakini hawakopi ovyo,tiari, mbona nimeona kama maticha wameshaanza kupanga mafoleni kwenye ATM ili wakalipe madeni kwenye maduka ya wachaga na wahindi. labda kama nimeona vibaya. hii ndio tz isiyojali maticha bwana. hadi wamekuwa kitambulisho cha kama mshahara umetoka au la.
Mwalimu, umesoma mpaka darasa la ngapi mkuu?Acheti kutusi with kwani wanaoenda ATM no maticha tu!!???