KERO Shule ya Kata (Bujinga) iliyopo Tukuyu tunatozwa sh.60,000/=kila mwezi

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Shule ya sekondari BUJINGA iko Tukuyu mkoa wa Mbeya wazazi tumeambiwa tuanze kuchangia sh. 60000/= kwaajili ya kambi kidato cha nne..

Hii ililetwa kama agenda ktk kikao kilichoitishwa na walimu wito wa kuwaita wazazi Ili jambo hilo liridhiwe..

Ktk uhalisia imefanywa kama hiyari lkn ni kama kuna kulazimisha ndani yake kwani baadhi ya wanafunzi wanadai kuwa Wana hofu kwani mchango usipochangwa wataadhibiwa..

Ktk uhalisia wa maisha ya mwananchi wa kawaida sh. 60k ni kubwa na hawezi kumudu kuilipa, hivo swala hilo likemewe vikali na liondolewe kwenye ulazima na kuwa hiyari..

Pia wadau Hawa wa BUJINGA sekondari wakajifunze UKUKWE SEKONDARI maana wanaitoa huduma hii ya kambi KWA gharama nafuu Sana, Jambo ambalo linaonesha kuwa walimu Wana nia ya kusaidia..

Naamini nia yao kuweka kambi ni njema ila gharama ni kubwa KWA wazazi wanaoungaunga..

Nimeleta mkeka huu Ili kama zipo taasisi nyingine za kata zinatiza gharama kubwa zipate muda wa kujifunza KWA majirani kabla ya kupresent gharama walizokusudiaa...
 
Shule ya sekondari BUJINGA iko Tukuyu mkoa wa Mbeya wazazi tumeambiwa tuanze kuchangia sh. 60000/= kwaajili ya kambi kidato cha nne..

Hii ililetwa kama agenda ktk kikao kilichoitishwa na walimu wito wa kuwaita wazazi Ili jambo hilo liridhiwe..

Ktk uhalisia imefanywa kama hiyari lkn ni kama kuna kulazimisha ndani yake kwani baadhi ya wanafunzi wanadai kuwa Wana hofu kwani mchango usipochangwa wataadhibiwa..

Ktk uhalisia wa maisha ya mwananchi wa kawaida sh. 60k ni kubwa na hawezi kumudu kuilipa, hivo swala hilo likemewe vikali na liondolewe kwenye ulazima na kuwa hiyari..

Pia wadau Hawa wa BUJINGA sekondari wakajifunze UKUKWE SEKONDARI maana wanaitoa huduma hii ya kambi KWA gharama nafuu Sana, Jambo ambalo linaonesha kuwa walimu Wana nia ya kusaidia..

Naamini nia yao kuweka kambi ni njema ila gharama ni kubwa KWA wazazi wanaoungaunga..

Nimeleta mkeka huu Ili kama zipo taasisi nyingine za kata zinatiza gharama kubwa zipate muda wa kujifunza KWA majirani kabla ya kupresent gharama walizokusudiaa...
Ujitambui, hiari inakuwaje kero? Kama unaona nyingi unaacha kuchanga alafu mtoto akipewa adhabu uje useme kapigwa kwa kuwa ajatoa elfu 60. Mnakubaliana wenyewe wazazi alafu unakuja kuleta majungu mtandaon
 
Ujitambui, hiari inakuwaje kero? Kama unaona nyingi unaacha kuchanga alafu mtoto akipewa adhabu uje useme kapigwa kwa kuwa ajatoa elfu 60. Mnakubaliana wenyewe wazazi alafu unakuja kuleta majungu mtandaon
Anaacha kumalizana na viongozi wa hukohuko anakuja kupayuka hapa....ajabu sana
 
Ujitambui, hiari inakuwaje kero? Kama unaona nyingi unaacha kuchanga alafu mtoto akipewa adhabu uje useme kapigwa kwa kuwa ajatoa elfu 60. Mnakubaliana wenyewe wazazi alafu unakuja kuleta majungu mtandaon
Umeshakaa kijijini wewe ukajua kero ya Walimu. Kwanza kuna haja gani ya kuweka kambi? Huo ni mradi walimu wanataka hela tu hapo wafundishe kwa mujibu wa ratiba. Hao walimu ni wezi.
 
Shule ya sekondari BUJINGA iko Tukuyu mkoa wa Mbeya wazazi tumeambiwa tuanze kuchangia sh. 60000/= kwaajili ya kambi kidato cha nne..

Hii ililetwa kama agenda ktk kikao kilichoitishwa na walimu wito wa kuwaita wazazi Ili jambo hilo liridhiwe..

Ktk uhalisia imefanywa kama hiyari lkn ni kama kuna kulazimisha ndani yake kwani baadhi ya wanafunzi wanadai kuwa Wana hofu kwani mchango usipochangwa wataadhibiwa..

Ktk uhalisia wa maisha ya mwananchi wa kawaida sh. 60k ni kubwa na hawezi kumudu kuilipa, hivo swala hilo likemewe vikali na liondolewe kwenye ulazima na kuwa hiyari..

Pia wadau Hawa wa BUJINGA sekondari wakajifunze UKUKWE SEKONDARI maana wanaitoa huduma hii ya kambi KWA gharama nafuu Sana, Jambo ambalo linaonesha kuwa walimu Wana nia ya kusaidia..

Naamini nia yao kuweka kambi ni njema ila gharama ni kubwa KWA wazazi wanaoungaunga..

Nimeleta mkeka huu Ili kama zipo taasisi nyingine za kata zinatiza gharama kubwa zipate muda wa kujifunza KWA majirani kabla ya kupresent gharama walizokusudiaa...
Mbaya zaidi utakuta uliipigia kura ccm.
 
Acha ujinga....... waliyokuwekea bure wamepeleka watoto shule za gharama. Hakuna elimu ya BURE WEWE

Sent from my SM-G928I using JamiiForums mobile app
Kusoma mie naamini sio ghaama ingekuwa ivyo Basi kila wenye pesa wangekuwa maprofesa.
Bali naamini mie elimu Ni Ile Ari,shauku,hamu ya kutaka kujifunza ama kujielimisha, Pili Ni uwezo wa yule anayejifunza.
I trust self taught education than formal education.
Yaani mtu akipenda shule anaweza akawa anajificha anajisomea,hata mbalamwezi usiku anasoma Ila Sasa mpaka upeleke anakosukumwa Kama punda sio POA na kumezeshwa unadhani ndio elimu.
 
Kama mwanao ni wakike mlete likizo nikae nae bure nimfundishe "twisheni"
Kitu muhimu ni aje na mafuta TU
 
Umeshakaa kijijini wewe ukajua kero ya Walimu. Kwanza kuna haja gani ya kuweka kambi? Huo ni mradi walimu wanataka hela tu hapo wafundishe kwa mujibu wa ratiba. Hao walimu ni wezi.
Ujitambui kabisa wewe na wazazi wenzio, mnawekewa kambi kwa kuwa mitoto yenu vichwa vigumu na wakikaa mtaani hawasomi ni kubeti na kulima vibarua ila mnataka muone matokeo mazuri.
Mchango sio lazima acha kuchangia uone kama mwanao atafukuzwa au atapigwa bakora, wewe kama uoni umuhimu wa kugharamia elimu ya mwanao acha wanaoweza wafanye hivyo mwanao nae akiwa na akili kama za baba yake huo ukoo utabaki maskini milele
 
Ila hizi kambi sometimes huwaharibu zaidi watoto kuliko kuwajenga.

Imagine wanafunzi hawajawahi kukaa bweni, ndo kwa mara ya kwanza wanakaa bweni wakiwa form 4.

Sio wote wana lengo la kusoma, na kuwajua wasio na lengo hilo kwa muda mfupi sio rahisi, kuna mwalimu atakubali asilale akae kuwalinda wasome?? Maana kuwaasa tu haitoshi...

Baadhi ya shule huchagua jinsia ya kubaki shule na sio zote kuepuka matatizo ya mahusiano, na kesi kibao za namna hiyo.

Na hiyo shule kama wanataka iwe ya bweni, anzeni huo mchakato.. ila tatizo wazazi wa tukuyu ni wazito mno kwenye ishu za elimi kwa watoto wao, wengi wanapenda bia na kujichubua tu.
 
Ujitambui, hiari inakuwaje kero? Kama unaona nyingi unaacha kuchanga alafu mtoto akipewa adhabu uje useme kapigwa kwa kuwa ajatoa elfu 60. Mnakubaliana wenyewe wazazi alafu unakuja kuleta majungu mtandaon
Acha ujinga wako!
Haijawahi kutokea wazazi woote kukubaliana!
Watu Wana idea kuwa wengi wakiamua wape, wakati si sahihi
Suala la gharama za shule ni za binafsi sio maamuzi ya kikao
Wanapaswa kujua kuwa masuala ya kambi si lazima,
Kikao kiwe kwa ajili ya kushawishi wazazi ili wanaoweza gharama wajiunge na kambi
Ila Cha ajabu kikao kinaitwa ili kupitisha ajenda ya kambi na michango
Then wengi wakisema sawa, Basi hata wachache wasioafiki wanasukumizwa kwa nguvu
Na ujinga mwingine Ni kwa Nini wanafunzi waadhibiwe kwa kukosa kutoa mchango ambao Ni wajibu wa wazazi?

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom