sidhani kama upo sawa..posho ikishaingizwa kwenye mshahara bado itakua kama mshahara as itakubidi uisubiri hadi mwez uishe...Mh.....Walimu njaa itawaua.....Naishauri serikali hii ya JPM ijaribu kuwapa walimu wetu angalau POSHO ya laki moja kila katikati ya mwezi maana hawa hawana sehemu ingine ya kuingiza ata shilingi tofauti na mshahara....Naishauri serikali baada ya kuongeza mishahara kwa walimu basi iyo nyongeza iwe posho hii itasaidi kuwapunguzia ukakasi wa maisha ya month to month.....WALIMU daini POSHO mishahara ata ukiwa milioni 3 kama hakuna posho katikati ya mwezi bado ikifika tarehe 20 mtakua mnaulizia km mishahara imetoka
Wagu mm kuelewa!Uliza salio kupitia NMB Mobile. Walimu buana!
We ni nani unayekashifu walimu pengine unakula na kulala kwa shemeji yako acha hizo mkuu muheshimu mwalimu maana ndo kakufanya uweze kuandika text yako ya kijinga hapo juutiari, mbona nimeona kama maticha wameshaanza kupanga mafoleni kwenye ATM ili wakalipe madeni kwenye maduka ya wachaga na wahindi. labda kama nimeona vibaya. hii ndio tz isiyojali maticha bwana. hadi wamekuwa kitambulisho cha kama mshahara umetoka au la.
Tayari mkuu kachukueKama kunamtu yuko karibia na NMB mjini atufahamishe ili nasisi Walimu WA KANADI SIMIYU tuelewe.
Mbona ww ndo hueleweki ebu soma upya acha kukurupuka.....nimesema ombeni posho na sio nyongeza ya mishahara na nikasema ata km wanataka kuongeza mishahara basi ni vema hicho kiasi kikawa ni posho.....posho ukipokea tarehe 15 na mshahara ukapokea tarehe 27 sidhan km huu ukakas wa maisha utandelea kua km ilivyo sasasidhani kama upo sawa..posho ikishaingizwa kwenye mshahara bado itakua kama mshahara as itakubidi uisubiri hadi mwez uishe...
Hakuna mwezi walitangulia kupokea, labda iwe bht mbayaSi ajabu mwezi huu ukachelewa chelewa, wapewe kwanza watunisha misuli