kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,183
......MPAKA sept 1 .... wakupe leo ukanunue KIROBA ....
Hawa hawawezi kulia maana wana mianya nyingi ya kupata pesa kama vile posho za over time, posho za katikati ya mwezi na rushwa za hapa na pale hata mishahara ikichereweshwa miezi mitatu.Ualimu ni moja ya taalum ni ninayoiheshim Wakati mwingine waalim mnafanya mdhauriliwe ni mambo kama haya ya kwako mleta uzi , ulishawai kusikia daktar humu analalama kuhusu mshahara ,, ushawai sikia askar analalamika mshahara, nk.
Hivi mwisho wa mwezi tayari ???Kama kunamtu yuko karibia na NMB mjini atufahamishe ili nasisi Walimu WA KANADI SIMIYU tuelewe.
we unasababisha watu wanakatwa kodi kila wakiangalia saliotayari kitu kinasoma
Kama comment zote za wadau hapo juu hujaelewa si upotezee tu? maana siyo lazima ucomment kila thread unayoiona nyingine pita pemben kwan zinakuwa hazikuhusuMnazungumzia nini?