Godbless .m.
Member
- Dec 3, 2011
- 48
- 11
Acha dharau, mwalimu kakufundisha kuandika Leo unaandika dharau.tiari, mbona nimeona kama maticha wameshaanza kupanga mafoleni kwenye ATM ili wakalipe madeni kwenye maduka ya wachaga na wahindi. labda kama nimeona vibaya. hii ndio tz isiyojali maticha bwana. hadi wamekuwa kitambulisho cha kama mshahara umetoka au la.