Alichagulishwa upande ambao nafsi yake imeukataa na nafsi inamsuta, hana amani ya maisha tena na hana uhuru wa dhamiri,
Nampongeza sana HALIMA MDEE tena nampongeza sana alikosea lakini akaona asiendelee kukosea tena
Huyu mbilikimo kazi yake ilikuwa kumshambulia Mbowe tu, baada ya Mbowe kutolewa kwenye uenyekiti na hatimaye kuunga juhudi kimya kimya automatically Msigwa akakosa hoja hivyo kuwa mzigo tu ndani ya CCM.
CCM inakutumia mara unapotoka kwenye chama chako ili ukiseme vibaya. Ukishakaa unakuwa huna jipya. BTW Msigwa alikuwa amefanya ajenda yake kubwa ni Mbowe lakini kwa bahati mbaya kwake Mbowe sasa hivi ni kipenzi chao. Ni sawa na mama mmoja anaitwa Juliana Shonza, alitoka CHADEMA akawa anafanya ajenda yake ni CHADEMA, sasa hivi hana jipya.