Jamani mbona vitu vimepanda ghafla

acha tu vitatu tunavinunua kwa buku3 wakat zaman ilikua jero au buku daaaa
Vitu vya kugawa Bure hivi Kwa mbele... aisee fungeni Buti kamba mjichekeche Tu maana kama no ujenzi wa nchi ndio Kwanza msingi
 
Consumer ndio mjenga Nchi na ni wote kuanzia kundi la kwanza mpaka la mwisho uliotaja mkuu. Kikubwa tutambue tu jiwe kafeli na sasa amewageukia wanyonge anawanyonga kwa njia ya Bluetooth.
Huku mkate 2000 ila ipo hivi UKIJIFANYA UNAMUWEKEA MLOLONGO MWINGI WA MAKODI(TAX) PRODUCER NA RAW MATERIAL JUA KABISA HAYO MAKODI YATASHUSHWA KWA WHOLE SALE NA WHOLE SALER ATAYASHUSHA KWA RETAILER THEN RETAILER ATAYASHUSHA KWA LAST CONSUMER AMBAO NDO SISI. HUO MTIRIRIKO UNAKUJA KWA LAST CONSUMER KWA KUONGEZA BEI BIDHAA.
 
Hata cheap labour tupo kijiweni tumelala tu tunatazama jua linavyo zamaa kila ihi twao siku hakuna mchongo wala kazi ya maana God help us
Njoo kakola namba mbili ubebe cargo za mawe. Kago moja ni buku mbili. Umbali wa dakika moja tu. Kaz nakupa Mimi hapa. Kama kuna ambae anaweza hiyo kaz na yupo namba mbili sasa hiv anichek. Kama kuna boda boda anaebeba mawe kutoka kakola kwenda nyarugusu pia anicheki. Mifuko minne ni 37elfu. Sio lazma uelewe
 
Mm nimeoa miaka kadhaa iliyopita.
Wapo watu wengi wasiooa na wana tumia kondomu kwa wingi,suala na kupanda bei kwa bidhaa ni la kujiuliza kwa sisi wote tuache umimi (ubinafsi) wa kuhoji na kufuatilia mambo yanayo tuhusu moja kwa moja!
 
hahaha unaamua kunitisha Dada ake.

afu nishalipia godown na maushuru yote yanayohitajika nimeuweka uko kwa muda hapa naomba bala la njaa liwakumbe tu.


hongera sana.
ila tuseme ukwel...wakusanya vyakula.wa miaka mi5 iliyopita walikua na hela sana...sio km ss..mchele haupandi kivilee...mchele mzuri unachezea 1800- '2000..hv shida ni nn
 
hongera sana.
ila tuseme ukwel...wakusanya vyakula.wa miaka mi5 iliyopita walikua na hela sana...sio km ss..mchele haupandi kivilee...mchele mzuri unachezea 1800- '2000..hv shida ni nn
Hii miaka ya jiwe kumekuwa na trend ya kufunga mipaka kutoruhusu chakula kutoka nje ya nchi. Majirani siku zote huwa wana high demand na reasonable price ambayo huwa inapelekea bei za ndani kuchangamka pia.
 
Hao kuku sio wa kienyeji tena, hao kuku wa geti kali.
Ili aitwe wa kienyeji lazima akazurule ajitafutie riziki yake mwenyewe, wewe jukumu lako kumpatia malazi tuu
Wa kienyeji bhana. Ili wakupe mazao stahiki km mayai na mbolea ya kutosha inabidi uwape huduma stahiki !
 
Wakuu habari zenu poleni na majukum ya kitaifa

Kuna jambo limenishangaza sana mbona maisha yanazidi kupanda sana toka tarehe moja nimeenda dukani kununua sukari kilo moja kwetu huku ilikuwa tsh 2600 sasa hivi imefika 2800

Bati pia hivyo hivyo bando moja hizi za rangi nimekuta bei imepanda toka 370000 mpk 390000

Hizi za kawaida simbadum zimepanda toka laki mbili themanini mpaka laki tatu na arobaini.

Cement nayo imepanda hatari jamani tunaelekea wapi sasa mbona hatari hii kwa wafanyakazi kipato bado kile kile pia wafanyabiashara hali ya biashara ngumu

Hii hali hii mbona umri unaenda hatufanyi lolote la maana kwa ajiri ya watoto wetu zaidi ya kujibana kula na kuvaa napo kwa shida.
Maendeleo hayana chama
 
Maisha magum wewe jiunge tu na dent upate free vocha ili ela ya vocha ikusaidie kwa mambo mengine, vuna 10000 daily https://jamiiforums.com/r56SdaG1UX
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom