Jamani mbona vitu vimepanda ghafla

Jamani mbona vitu vimepanda ghafla

Wakuu habari zenu poleni na majukum ya kitaifa

Kuna jambo limenishangaza sana mbona maisha yanazidi kupanda sana toka tarehe moja nimeenda dukani kununua sukari kilo moja kwetu huku ilikuwa tsh 2600 sasa hivi imefika 2800

Bati pia hivyo hivyo bando moja hizi za rangi nimekuta bei imepanda toka 370000 mpk 390000

Hizi za kawaida simbadum zimepanda toka laki mbili themanini mpaka laki tatu na arobaini.

Cement nayo imepanda hatari jamani tunaelekea wapi sasa mbona hatari hii kwa wafanyakazi kipato bado kile kile pia wafanyabiashara hali ya biashara ngumu

Hii hali hii mbona umri unaenda hatufanyi lolote la maana kwa ajiri ya watoto wetu zaidi ya kujibana kula na kuvaa napo kwa shida.
Yaan na kwenye bajeti haijaeleza kama kuna kupanda kwa hivyo vitu....wenye maduka wamepandisha hadi sigara.....
Cjui tatizo liko wapi....
 
Wakuu habari zenu poleni na majukum ya kitaifa

Kuna jambo limenishangaza sana mbona maisha yanazidi kupanda sana toka tarehe moja nimeenda dukani kununua sukari kilo moja kwetu huku ilikuwa tsh 2600 sasa hivi imefika 2800

Bati pia hivyo hivyo bando moja hizi za rangi nimekuta bei imepanda toka 370000 mpk 390000

Hizi za kawaida simbadum zimepanda toka laki mbili themanini mpaka laki tatu na arobaini.

Cement nayo imepanda hatari jamani tunaelekea wapi sasa mbona hatari hii kwa wafanyakazi kipato bado kile kile pia wafanyabiashara hali ya biashara ngumu

Hii hali hii mbona umri unaenda hatufanyi lolote la maana kwa ajiri ya watoto wetu zaidi ya kujibana kula na kuvaa napo kwa shida.
Ndo uchumi wa viwanda unaimarika mkuu.
 
Kuna jambo limenishangaza sana mbona maisha yanazidi kupanda sana toka tarehe moja nimeenda dukani kununua sukari kilo moja kwetu huku ilikuwa tsh 2600 sasa hivi imefika 2800

Bati pia hivyo hivyo bando moja hizi za rangi nimekuta bei imepanda toka 370000 mpk 390000
Trotting inflation.....
Tz tupo kwenye hiyo inflation (Mfumuko wa bei)

Maana...kuna 1. bottleneck inflation..(increase in price of goods and services at the rate of 1% to 2% per annual)
2.Trotting inflation...(increase in price of goods and services at the rate of 2% to 3% per annual)
3.Rapid inflation.....(increase in price of goods and services at the rate of 4%to 5% p.a)
4. Hyper inflation..(Daily increase in price of goods and services)

Inflation inatokea sana kama demand ni kubwa kuliko supply ya bidhaa na huduma, au importation of goods and services ime exceed exportation .... Wajuzi wa mambo watakuja kunielewesha vizuri kama nimekosea
 
Wewe utakuwa mpiga dili.. Ukiwa unapiga kazi kwa bidii mambo yatakuwa murua tu..kwasasa mnajengewa msingi ili mje muishi vizuri..majizi na wauza unga ndio wanaolalamika awamu hii..
 
Wewe utakuwa mpiga dili.. Ukiwa unapiga kazi kwa bidii mambo yatakuwa murua tu..kwasasa mnajengewa msingi ili mje muishi vizuri..majizi na wauza unga ndio wanaolalamika awamu hii..
Wala sikushangai maana hata wafanyakazi wanao lalamika mishahara kutopanda ni wapiga dili.

Incase hujaamibiwa na rafiki zako, nikujulishe tu kwamba UNAAKILI NA UWEZO MDOGO MNO WA KUFIKIRI!!
 
Wala sikushangai maana hata wafanyakazi wanao lalamika mishahara kutopanda ni wapiga dili.

Incase hujaamibiwa na rafiki zako, nikujulishe tu kwamba UNAAKILI NA UWEZO MDOGO MNO WA KUFIKIRI!!

Jamaa yangu wewe ni mpiga dili ulizoea dili, mshahara unatosha sana haina haja kuongeza na wengine tunawapunguzia..

Wewe huoni midege inatua Chato pale, SGR, stiggler, shule bureee, ATCL imetua SA, uchumi unakua kwa 7% na umasikini umepungua, awamu ya tano inapiga kazi balaaa
 
Wakuu habari zenu poleni na majukum ya kitaifa

Kuna jambo limenishangaza sana mbona maisha yanazidi kupanda sana toka tarehe moja nimeenda dukani kununua sukari kilo moja kwetu huku ilikuwa tsh 2600 sasa hivi imefika 2800

Bati pia hivyo hivyo bando moja hizi za rangi nimekuta bei imepanda toka 370000 mpk 390000

Hizi za kawaida simbadum zimepanda toka laki mbili themanini mpaka laki tatu na arobaini.

Cement nayo imepanda hatari jamani tunaelekea wapi sasa mbona hatari hii kwa wafanyakazi kipato bado kile kile pia wafanyabiashara hali ya biashara ngumu

Hii hali hii mbona umri unaenda hatufanyi lolote la maana kwa ajiri ya watoto wetu zaidi ya kujibana kula na kuvaa napo kwa shida.

zamani walikuwa hawalipi ushuru wanahonga tu sasa hivi wanalipa kihalali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom