Jamani mbona vitu vimepanda ghafla

kitokololoo

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
704
813
Wakuu habari zenu poleni na majukum ya kitaifa

Kuna jambo limenishangaza sana mbona maisha yanazidi kupanda sana toka tarehe moja nimeenda dukani kununua sukari kilo moja kwetu huku ilikuwa tsh 2600 sasa hivi imefika 2800

Bati pia hivyo hivyo bando moja hizi za rangi nimekuta bei imepanda toka 370000 mpk 390000

Hizi za kawaida simbadum zimepanda toka laki mbili themanini mpaka laki tatu na arobaini.

Cement nayo imepanda hatari jamani tunaelekea wapi sasa mbona hatari hii kwa wafanyakazi kipato bado kile kile pia wafanyabiashara hali ya biashara ngumu

Hii hali hii mbona umri unaenda hatufanyi lolote la maana kwa ajiri ya watoto wetu zaidi ya kujibana kula na kuvaa napo kwa shida.
 
Huku mkate 2000 ila ipo hivi UKIJIFANYA UNAMUWEKEA MLOLONGO MWINGI WA MAKODI(TAX) PRODUCER NA RAW MATERIAL JUA KABISA HAYO MAKODI YATASHUSHWA KWA WHOLE SALE NA WHOLE SALER ATAYASHUSHA KWA RETAILER THEN RETAILER ATAYASHUSHA KWA LAST CONSUMER AMBAO NDO SISI. HUO MTIRIRIKO UNAKUJA KWA LAST CONSUMER KWA KUONGEZA BEI BIDHAA.
Mkate umepanda kutoka 1100 Hadi 1200
 
Huku mkate 2000 ila ipo hivi UKIJIFANYA UNAMUWEKEA MLOLONGO MWINGI WA MAKODI(TAX) PRODUCER NA RAW MATERIAL JUA KABISA HAYO MAKODI YATASHUSHWA KWA WHOLE SALE NA WHOLE SALER ATAYASHUSHA KWA RETAILER THEN RETAILER ATAYASHUSHA KWA LAST CONSUMER AMBAO NDO SISI. HUO MTIRIRIKO UNAKUJA KWA LAST CONSUMER KWA KUONGEZA BEI BIDHAA.
Huo wa 2000 utakuwa ni ule mkubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom