Jamani mbona vitu vimepanda ghafla

Jamani mbona vitu vimepanda ghafla

Huku mkate 2000 ila ipo hivi UKIJIFANYA UNAMUWEKEA MLOLONGO MWINGI WA MAKODI(TAX) PRODUCER NA RAW MATERIAL JUA KABISA HAYO MAKODI YATASHUSHWA KWA WHOLE SALE NA WHOLE SALER ATAYASHUSHA KWA RETAILER THEN RETAILER ATAYASHUSHA KWA LAST CONSUMER AMBAO NDO SISI. HUO MTIRIRIKO UNAKUJA KWA LAST CONSUMER KWA KUONGEZA BEI BIDHAA.
Serikali inafikiri kubebesha wafanyabiashara mizigo mikubwa ya kodi ndio kuonhezq makusanyo, kumbe inasababisha bidhaa kupanda bei na kuleta inflation, mwisho wa siku figure za makusanyo zinaongezeka lakini thamani ya pesa imeshuka, kwahiyo walichokusanya hakina ongezeko katika thamani ila tu ni namba zinapanda. Zqmanqi TRA walikuwa wanakusanya bilioni 300 enzi za mkapa lakini ilikuwa inafanya makubwa kuliko Trillioni 1 ya leo.
 
Serikali inafikiri kubebesha wafanyabiashara mizigo mikubwa ya kodi ndio kuonhezq makusanyo, kumbe inasababisha bidhaa kupanda bei na kuleta inflation, mwisho wa siku figure za makusanyo zinaongezeka lakini thamani ya pesa imeshuka, kwahiyo walichokusanya hakina ongezeko katika thamani ila tu ni namba zinapanda. Zqmanqi TRA walikuwa wanakusanya bilioni 300 enzi za mkapa lakini ilikuwa inafanya makubwa kuliko Trillioni 1 ya leo.
Point ya muhimu sana.

Kupanda kwa bei kwa vitu kunapunguza thamani ya fedha.

Hivyo hata makusanyo yakiongezeka kwa namba (TShs) ukija kupiga hesabu zilizo inflation controlled, makusanyo hayapandi sana hivyo, au yanaweza kuwa hata yanapungua.

Na zaidi, maisha yanakosa unafuu kwa wananchi.
 
Kama mwanamke anaweza kutoboa pua yake kwa kipini.
atashindwaje kutoboa moyo wako??

Aliskika dogo mmoja wa Senegal kabla hajafunga goli.
 
Point ya mihimu sana.

Kupanda kwa bei kwa vitu kunapunguza thamani ya fedha.

Hivyo hata makusanyo yakiongezeka kwa namba (TShs) ukija kupiga hesabu zilizo inflation controlled, makusanyo hayapandi sana hivyo, au yanaweza kuwa hata yanapungua.

Na zaidi, maisha yanakosa unafuu kwa wananchi.
Malaika wataishi kama mashetani unakumbuka hili ?!
 
Wadau wa zile "huduma zetu pendwa" tujuzane kama kuna mabadiliko yoyote uko, maana wengne hatujapita huko siku 2-3 hiz

Cc.Ambiele Kiviele, zero iQ
 
hiyo inaitwa wanyang'anye pesa wakose nguvu ili tuwatawale vzuri ni mfumo wa mwendo wa kuishi kama mashetani!!
 
Aya mkuu lkn nachojua inshu ya uchumi kuyumba inaathiri c masikini tu hadi wenye nazo.
Pia hukunielewa c kuku kama chakula nachoongea gharama za vyakula vya kulisha kuku yani pumba mashudu na madawa vimepanda sana mf. Leo hii mtu anasafirisha mashudu toka singida ya alizeti analeta dar humo njiani ni kodi kila sehem mpk kufika dar wanunuzi wana uziwa gharama kubwa sana mashudu na madawa hvyo mambo yanakuwa ni magum ata wafugaji wanashidwa nunua tayari familia uchumi unayumba.
Tatizo kodi zimekuwa lukuki.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom