King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Muache banaa ajienjoy! Mie niliwahi kuombwa nimkopeshe mtu 20M by kesho mchana nikafurahi kweli. Manake nilikuwa kauzu sina hata za kujikimu nawaza ntapata lini kamshahara, ilinifariji kuona mtu anafikiria im worth 20M ambayo haina hata kazi.
JF sasa inapoteza mwelekeo, hili nalo la kulileta hapa?
Halafu badilisha heading ya hii thread yako ya kijinga, mimi sijawahi kukukopa, sasa unapata wapi uhalali wa kusema kila mtu anakukopa?