Jamani Mbeya hakuna mtu anayejua viwanda au kampuni ijayotafuta wafanyakazi

Jan 31, 2024
42
119
Niko Mbeya jamani mimi ni kijana nauliza kama kuna Kiwanda chochote au kampuni yoyote inayotafuta wafanyakazi.kwa Maana nimezunguka mkia sehemu Lakini wapi
 
Kwa mbeya nenda Iyunga viwandani au Itutq karibu na iwambi uko kuna viwanda kama Coca-Cola , safari breweries, Tazara , Malumalu , kiwanda cha kahawa , pepsi ,Melt.
Fika asubuh iliuweze kupata Abc.
 
Back
Top Bottom