Niko Mbeya jamani mimi ni kijana nauliza kama kuna Kiwanda chochote au kampuni yoyote inayotafuta wafanyakazi.kwa Maana nimezunguka mkia sehemu Lakini wapi
Kwa mbeya nenda Iyunga viwandani au Itutq karibu na iwambi uko kuna viwanda kama Coca-Cola , safari breweries, Tazara , Malumalu , kiwanda cha kahawa , pepsi ,Melt.
Fika asubuh iliuweze kupata Abc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.