OME123
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,497
- 605
Ndugu zangu mama yangu anaumwa sana,tatizo lake anasumbuliwa na hedhi,kwani tangu mwezi wa saba alikuwa hajaona siku zake za hedhi,kwa sasa tatizo imeanza kama wiki mbili zilizopita anatokwa na mabonge ya damu ya hedhi mfululizo mpaka anaishiwa nguvu,jamani ndugu zangu wenye utalaam na haya mambo naombeni msaada kwani mpaka sasa hivi hali yake ni mbaya sana kwani nimechanganyikiwa jamani
natanguliza shukrani zangu
natanguliza shukrani zangu