Jamani mama yetu anaumwa sana-msaada

OME123

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,498
605
Ndugu zangu mama yangu anaumwa sana,tatizo lake anasumbuliwa na hedhi,kwani tangu mwezi wa saba alikuwa hajaona siku zake za hedhi,kwa sasa tatizo imeanza kama wiki mbili zilizopita anatokwa na mabonge ya damu ya hedhi mfululizo mpaka anaishiwa nguvu,jamani ndugu zangu wenye utalaam na haya mambo naombeni msaada kwani mpaka sasa hivi hali yake ni mbaya sana kwani nimechanganyikiwa jamani

natanguliza shukrani zangu
 
..........Itakuwa anaelekea menopause hiyo, muhimu hakikisha anakula chakula chenye madini ya iron kwa wingi.
Vile vile vizuri kwenda kumuona daktari wa magonjwa ya kike ili wamchunguze vizuri. Mpe mama pole, atakuwa vizuri tu.....mambo ya utu uzima hayo.
 
hilo suala la kuishiwa nguvu,linaashiria kua anahitaji kumuona daktari wa wanawake. lakini kama alivyosema pretty, damu ya hedhi kwa wingi na yenye mabonge inatokea wakati wa menopause. inaweza kuwa ni tatizo tofauti pia.poleni sana.
 
Ndugu zangu mama yangu anaumwa sana,tatizo lake anasumbuliwa na hedhi,kwani tangu mwezi wa saba alikuwa hajaona siku zake za hedhi,kwa sasa tatizo imeanza kama wiki mbili zilizopita anatokwa na mabonge ya damu ya hedhi mfululizo mpaka anaishiwa nguvu,jamani ndugu zangu wenye utalaam na haya mambo naombeni msaada kwani mpaka sasa hivi hali yake ni mbaya sana kwani nimechanganyikiwa jamani


natanguliza shukrani zangu

Pole sana ... ! Sitegemei kuwa hujachukua hatua zozote ...hebu tueleze umechukua hatua gani hadi sasa ...!! Hospital ulizokwenda na majibu au ushauri uliopewa huko...

Karibu!!!
 
baba, plz naomba umuone dr wa wanawake mapema. si tatizo kubwa sana maana sijajua anaumri gani but atakuwa fresh soon akipata dozi. usijali mwana.....hakuna kama mama na ndo maana umeongea kwa hisia kali, yaani mama ndo kila kila kitu.
 
Pole sana mkuu.! Hili tatizo la mama yako linanikumbusha tatizo la mke wa rafiki yangu ambaye kwa sasa ni marehemu kafark mwenzi wa 8 mwaka huu. Alikuwa anatokwa na damu ya hedhi kila cku halafu nyeusii, tuk.mpeleka mpaka kcmc wapi, muhimbili wapi, ocean road wapi mpaka kafia hapa nyumbani. Tutaja kugundua (japo siamini 50%) kumbe alirogwa. Rip Chausiku shemu wangu.
back to you: Nakushauri hangaika na mama hospitali zote na uwaone madaktari specialist wa magonjwa ya akina mama ikishindikana waone madaktari wa elimu dunia watamsaidia mama yako mpendwa. Pole sana.!
 
Mpe pole sana mama ila ni vema akawahishwa hospitali ili akaonane na wataalamu wa hilo suala.
 
Fibroid
Endometrial tumor
DUB
Peri-menopausal syndrome
Could be the problem. She should see a gynecologist.
 
ndugu zangu mama yangu anaumwa sana,tatizo lake anasumbuliwa na hedhi,kwani tangu mwezi wa saba alikuwa hajaona siku zake za hedhi,kwa sasa tatizo imeanza kama wiki mbili zilizopita anatokwa na mabonge ya damu ya hedhi mfululizo mpaka anaishiwa nguvu,jamani ndugu zangu wenye utalaam na haya mambo naombeni msaada kwani mpaka sasa hivi hali yake ni mbaya sana kwani nimechanganyikiwa jamani

natanguliza shukrani zangu

pole sana sana mkuu nasikia uchungu kwa matatizo ya mamaetu..ukiwa unamwamini mungu naomba mlete pale kwa gwajima
kanisa la ufufuo na uzima kawe uwanja wa tanganyika packers na mungu alie hai atamponya ..mamayangu alikuwa anaumwa sana sana mambo yao ya fibrous sijui kama nimepatia tulijua tunampoteza akiwa aghakan baada ya miaezi mitatu akaj mtu akamwombea akaniambia kuna siku ya maombi nimpeleke nikaomba hosp wakamkatilia nikamwomba dir wao akaenda kwenye maombi ndugu na imani ya mama ilimchukua wiki 2 dk wakauliza ule uvimbe umeenda wapi..na mpaka leo imebaki historia
 
Poleni sana. Mie sio daktari ila kwa ushauri mpelekeni hosipitali.
 
Poleni sana! Ni vizuri mkampeleka kwa daktari wa wanawake, naamin huko mtapata msaada zaidi. Mpeni pia juice ya rozela kwa wingi itamsaidia kuongeza damu inayopungua.
 
Pole sana mpendwa,kwa sisi tuaminio,naendelea kufanya maombi kwa ajili ya huyo mama,pole Mungu atamsaidia
 
poleni sana wapendwa , dawa ya tatizo hili ni KUMWOMBA SN MUNGU NA KUFATA USHAURI WA DAKTARI.
 
Please naomba kujua umri wa mgonjwa, afu tangu mwezi wa huo wa saba je hajakutana baba yetu? Na kama anaishiwa nguvu mpaleke hospital aongezewe damu. Jambo jingine afanye vipimo vifuatavyo UPT, abdomenal uss. Hii itatusaidia kujua kama alipata mimba na sasa imetoka coz hizo ndo dalili zake, pia tunajua kama ni fibroid, dysfunctional uterine bleeding (DUB) au cancer lakini nikijua umri wa mgonjwa itanarrow thinking yangu.
 
Kama walivyosema wachangiaji waliotangulia, mpeleke hospitali kwa madaktari wa magonjwa ya wanawake!
 
Huyo mama ana umri gani? Inawezekana anatumia uzazi wa mpango wa vipandikizi, mara nyingi tatizo hiln huwatokea wanawake wanaotumia njia hiyo ya uzazi wa mpango. Cha msingi ni kwenda kuwaona wataalamu mapema.
 
Mi sina msaada,lakini Pole sana mpe na mama pole,nitamuombea na naamini Mungu anasikia sala zetu atamponya,
 
Tafadhali dr g nipe number yako japo tuweze kuongea kwenye simu tafadhali,mama ana umri wa miaka 39 yrs
 
Please naomba kujua umri wa mgonjwa, afu tangu mwezi wa huo wa saba je hajakutana baba yetu? Na kama anaishiwa nguvu mpaleke hospital aongezewe damu. Jambo jingine afanye vipimo vifuatavyo UPT, abdomenal uss. Hii itatusaidia kujua kama alipata mimba na sasa imetoka coz hizo ndo dalili zake, pia tunajua kama ni fibroid, dysfunctional uterine bleeding (DUB) au cancer lakini nikijua umri wa mgonjwa itanarrow thinking yangu.
Tafadhali dr g nipe number yako japo tuweze kuongea kwenye simu tafadhali,mama ana umri wa miaka 39 yrs
 
Kibwenga mama yetu ana umri wa miaka 39,namba yangu ni 0714701242 au 0756777266 jamaani naombeni msaada pliz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom