IPILIMO
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,819
- 799
Wakuu, mimi nina utata kuhusu lugha yetu, mnisaidie mantiki yake. Kuna taratibu mbalimbali ktk shule mbalimbali hapa nchini ambapo mwanafunzi analazimika koutumia lugha ya kiingereza hata kama kwa shida. Asiye ongea kiingereza na akaongea kiswahili atavishwa kengele au kijibao chenye maneno ya maudhi kama " Shame you", " I am stupid by talking swahili" JAMANI lugha yetu wenyewe tunajipa adhabu!!!! kuna shule fulani mwanafunzi akiongea kiswahili anakula bakola si mchezo, jee hii ni sahihi?