white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,618
- 13,882
je,Tanzania ni local chanel gani itaonyesha michuano ya kombe la mataifa(afcon 2013)yatakayo anza kesho huko bondeni kwa mzee madiba?kwani nchi nyingi vituo vya tv vya taifa ndio hutegemewa kuonyesha michuano mikubwa kwa wananchi wao mfano,KBC,UBC,ila kwa hapa kwe2 ni tofauti kabisa kwa hii TBC,japo inaendeshwa kwa kodi zetu!muda mwingi wao ni vipindi vya tamaduni za wachina tu,utadhani imekuwa CCTV-9,na nini ccm imefanya!japo najua bado wa2 wengi wako kwenye maumivu ya ving'amuzi,poleni kwani ni maagizo toka kwa wakoloni wetu!