Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,256
- 88,208
Niko liquid saa hiziUtakuwa wapi white....
Niko liquid saa hiziUtakuwa wapi white....
Kama umerudi na sijui nafuta urafiki na weweSi ndo maana nimetoa mwaliko....
Usimuite mwenzio kwa wazee.Njoo master club mikocheni utanikuta counter na juice ya ceres
Aiseea mapema sana jioni nitakua tips ukiwa nearby area unakaribishwa white....Niko liquid saa hizi
Hope utakua unalea au bado ndoa changa
Hakuna lolote huko Tabata.
Utaishia kuzungukwa na madada poa wachafu wachafu.
Take it from me. I know firsthand.
Usijari vyovyote na chochote utumiacho,kukaa tu na kubadilishana mawazoMimi sio mnywaji hata sina gharama hata
Ntamwambia huyu rafiki tupite kipande hicho kama ntakua mzimaAiseea mapema sana jioni nitakua tips ukiwa nearby area unakaribishwa white....
Aisee na uwe mzima tu....Ntamwambia huyu rafiki tupite kipande hicho kama ntakua mzima
Aisee!Mashostito na Masela ni kiwanja kipi kinabamba kwa leo hasa maeneo ya kinondoni. Fourways Park nimeshapachoka hata governors nimeshapachoka.
Papichulo nehii, Break-point pale napo nimepachoka.
Mbali na hizo hapo Juu waungwana wapi panabamba siku za Ijumaa
We jamaa akili zako unazijua mwenyewe.....
Overrated...
Tbt is so overrated.Tabata right?? I co-sign.
4th & 5th August #TwenzetuBagamoyoNtamwambia huyu rafiki tupite kipande hicho kama ntakua mzima
Kutamuu eeh?Mbezi beach
Wale walinzi wa pale kuna watu wamewawekea parking asee......tena wakikuona kidada dada full zengwe!...yaan ni wanataka rushwa kinguvu sipapendii!Elegance Sinza Mori
Wahenga ndo habare ya mjini.Rrondo akija hapa atasema naenda kudangaUsimuite mwenzio kwa wazee.