Jamani leo Ijumaa bata wapi

Mashostito na Masela ni kiwanja kipi kinabamba kwa leo hasa maeneo ya kinondoni. Fourways Park nimeshapachoka hata governors nimeshapachoka.

Papichulo nehii, Break-point pale napo nimepachoka.

Mbali na hizo hapo Juu waungwana wapi panabamba siku za Ijumaa
Aisee!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom