pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,731
Hii ni jinsi gani mwanamke ni kumbe wa ajabu sana dunia,hutenda mabaya ila hayupo tayari kupokea malipo ya mabaya aliyofanya....Wamesahau alivyokuwa anahangaika kugawa papuchi kwa wanaume eti akidai anamsaidia mume ametembea mpaka na mdogo wa mume wake ila tu hapo mume hajajua hii muviiiiii wanawakewengi wanaona et Paulina anaonewa