Jamani, kwani lazima?

Jamani, kwani lazima?

Sure sure.yupo kune huo mkakati naona.anakua mwema over,mpaka Mozie ataingia line upya. Stella amejibweteka tuu kajiaminisha sana na kiburi juu.doh!
Na inawezekana hata mimba si ya Mozie patamu hapo
 
Na inawezekana hata mimba si ya Mozie patamu hapo
Ha haa mkuu Daudi1 yaani umeongea km me nnavyofikiri,kwamba Stella atakuja kutoswa na mimba itakuja julikana si ya mozie atakapofanyiwa vipimo na kuonekana hana uwezo wa kumpa mimba mwanamke! Ha haaa,patakuwa patamu hapo,ngoja tusubiri.
 
Last edited by a moderator:
Ha haa mkuu Daudi1 yaani umeongea km me nnavyofikiri,kwamba Stella atakuja kutoswa na mimba itakuja julikana si ya mozie atakapofanyiwa vipimo na kuonekana hana uwezo wa kumpa mimba mwanamke! Ha haaa,patakuwa patamu hapo,ngoja tusubiri.
Hiii muvi ndo inakoelekea
 
Stela kisebengo huyo...... Hajui mke hapo ni paulina we mwache atanue weeeee ila injini ni paulina Daudi1 twende kazi
 
Last edited by a moderator:
Na inawezekana hata mimba si ya Mozie patamu hapo
👻mmmmh.hilo nalo neno.
Sipati picha kama ikiwa ivo.na wa kumfariji mozie apo atakua paulina tuu.stella atakimbizwa ka mbwa koko.no mercy.lol
 
mmmmh.hilo nalo neno.
Sipati picha kama ikiwa ivo.na wa kumfariji mozie apo atakua paulina tuu.stella atakimbizwa ka mbwa koko.no mercy.lol
Ngoja tuone muvi inakoelekea
 
Me nashindwa kuelewa kwa nn wanawake humu wanamshabikia Paulina, nmeamini kuna mambo wanatufanyia af wanaamini bado wana haki na ndoa zao.Mm likitokea kwangu sitaomba ushauri aisee. Mungu aepushie mbali.
 
Me nashindwa kuelewa kwa nn wanawake humu wanamshabikia Paulina, nmeamini kuna mambo wanatufanyia af wanaamini bado wana haki na ndoa zao.Mm likitokea kwangu sitaomba ushauri aisee. Mungu aepushie mbali.
Wamesahau alivyokuwa anahangaika kugawa papuchi kwa wanaume eti akidai anamsaidia mume ametembea mpaka na mdogo wa mume wake ila tu hapo mume hajajua hii muviiiiii wanawakewengi wanaona et Paulina anaonewa
 
Back
Top Bottom