Jamani, kwani lazima?

Jamani, kwani lazima?

Simtetei kwa alichokifanya bali MTU akifanya kosa aadhibiwe sio kulipiziwa kisasi, hiv ingekuwa tunalipiza kisasi kila kila kosa ingekuwaje . Mf kila ukigegeda na Mimi nagegedwa hiv ungeridhika ? Kinachotakiwa kuyaongea kama imeshindoika bas

Adhabu kwa hapo inaweza kuwa nn kwa mfano? Ok, sawa ila nashukuru mungu me falsafa yangu ni moja, kuna ushahidi anakula kona, km bible inavosema. Km nmeombwa niwashauri wote wawili, km anaona Stella anafaa kuwa mke aoe mara moja, na Paulina ajaribu kumtafuta yule mpelelez aliyefiwa na mkewe.
 
Adhabu kwa hapo inaweza kuwa nn kwa mfano? Ok, sawa ila nashukuru mungu me falsafa yangu ni moja, kuna ushahidi anakula kona, km bible inavosema. Km nmeombwa niwashauri wote wawili, km anaona Stella anafaa kuwa mke aoe mara moja, na Paulina ajaribu kumtafuta yule mpelelez aliyefiwa na mkewe.

Ha ha ha ha yupi huyo
 
Hhahhahahahaha....yaan ukiona unapandwa na hasira kuhusu hii story jinsi paulina anavyofanyiwa basi ujue ni jinsi gani ulivyo mbinafs...unapenda kufanya ubaya nakumpa mtu maumivu ila haupo tayar kupokea malipo yake...me nafurahi sana hapa,ni mambo ya mtenda akitendwa huona kaonewa sana...
 
Hii ndio story sasa! Acha zile ooh Mara nikaenda Iraq,Mara sjui somalia,Mara kumuokoa sijui balozi Wa marekani.Mara madam mery gaidi.Mara Mke Wa waziri Wa fedha Mara manka gaidi! Story nzima kufikirika tu.big up sana mkuu Daud 1 tupe mauhondo tuachane na visa visivyo na mkasa
 
Hii ndio story sasa! Acha zile ooh Mara nikaenda Iraq,Mara sjui somalia,Mara kumuokoa sijui balozi Wa marekani.Mara madam mery gaidi.Mara Mke Wa waziri Wa fedha Mara manka gaidi! Story nzima kufikirika tu.big up sana mkuu Daud 1 tupe mauhondo tuachane na visa visivyo na mkasa

Hahahaa hivi iliisha ile?
 
Na kingine ambacho kinanipa kucheka sana hapa katika hii story ni kuwa jamaa mose kampa paulina adhabu ile ile ambayo paulina alimfanyia...kafanya mapenzi kama paulina alivyofanya lengo nae nikutafuta mimba,pili kwa kuwa mose aliumia moyo na akili na paulina na yeye kaumia hivyo hivyo,zaidi ni kuwa paulina kaumia zaidi maana ndo maumivu ya nipige ngumi ya sikio na me nikupige ya jicho,ukiniuliza unaonaje na me nakuuliza unajisikiaje...hahahhahhahahhahah!
 
Na kingine ambacho kinanipa kucheka sana hapa katika hii story ni kuwa jamaa mose kampa paulina adhabu ile ile ambayo paulina alimfanyia...kafanya mapenzi kama paulina alivyofanya lengo nae nikutafuta mimba,pili kwa kuwa mose aliumia moyo na akili na paulina na yeye kaumia hivyo hivyo,zaidi ni kuwa paulina kaumia zaidi maana ndo maumivu ya nipige ngumi ya sikio na me nikupige ya jicho,ukiniuliza unaonaje na me nakuuliza unajisikiaje...hahahhahhahahhahah!

Ila ndoa yao ina maajabu kweli!!!? Yani wanandoa awawezi kupeana mimba lkn nje ya ndoa mke anaweza pata na mume anaweza kutoa!!!

Mtunzi nae kaingia mitini ...
 
Ila ndoa yao ina maajabu kweli!!!? Yani wanandoa awawezi kupeana mimba lkn nje ya ndoa mke anaweza pata na mume anaweza kutoa!!!

Mtunzi nae kaingia mitini ...

Paulina kapata mimba wapi? We hujaisoma nini? Mimba ya binadamu wanazaaga chura? Paulina aliwekewa jini na mganga tumboni, mimba mchezo!
 
Yule aliekutana nae kwenye daladala, alikiwa kavaa ngozi ya mtu mweusi et madai yake nipelelezi, huyu atakuwa alitonywa na mganga kuwa kuna dada nmempa mshariti haya.

Ha ha ha ha ha uwiiiiii mbavu zangu jamani, duh una kumbukumbu kweli , halafu yule jamaa alimpenda kweli
 
Yaaani ndo mpaka ijumaa Daudi1 plzzzz huwez kuwa serious
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha ha uwiiiiii mbavu zangu jamani, duh una kumbukumbu kweli , halafu yule jamaa alimpenda kweli

Hahaha jamaa alifeki ngozi, madevu af akatupia shati jekundu, akazuga eti mpelelezi, chezea papuchi wewe! Sometimes kuna umuhimu wa kuwa na urafiki na hawa waganga wa kienyeji aisee, unaweza faidi vingi.
 
Umeona eeh, lakin huyu bwana anatumia nakosa ya Paulina kama fimbo, ningekuwa mimi ningemwambia kweli Mume Wangu nimekukosea na kwa hili ulilolifanya umedhihirisha ni kias gani sifai so mchukue miss wako niachien hii nyumba, naamin ipo siku nitapata mshenzi mwenzangu ataniliwaza. Maana huyo mwanaume anashindwa kujua pau kafanya hivyo coz anampenda mumewe. DUUH! Nahis nimeandika maneno meengi coz hasira zimenipanda
Kwa hiyo unaona Paulina hakumdharirisha mumewe ila mume ndo kamdharirisha mkewe? kwani dada wa kazi si kama mwanamke mwingine yeyote? Unampenda mume kwa kuchepuka? kwani awali walivyopima nani alikutwa na tatizo la kushika mimba na mbona pamoja na tatzo hilo mume hakuhangaika kutafuta mtoto?
 
Asante kubwaaaaaaa zikujie Mr.rocky
Umewakilisha vema, nilikuwa nimebanwa kidogo ndo maana sikuonekana ila mambo yataenda sawa sawia mniwie radhi wapendwa
 
Hii ndio story sasa! Acha zile ooh Mara nikaenda Iraq,Mara sjui somalia,Mara kumuokoa sijui balozi Wa marekani.Mara madam mery gaidi.Mara Mke Wa waziri Wa fedha Mara manka gaidi! Story nzima kufikirika tu.big up sana mkuu Daud 1 tupe mauhondo tuachane na visa visivyo na mkasa
Hahahahahahaaaaa umenichekesha kweli karibu kwenye visa vya mapenzi vyenye kutoa fundisho namna ya kuenenda katika mahusiano yetu
 
Hhahhahahahaha....yaan ukiona unapandwa na hasira kuhusu hii story jinsi paulina anavyofanyiwa basi ujue ni jinsi gani ulivyo mbinafs...unapenda kufanya ubaya nakumpa mtu maumivu ila haupo tayar kupokea malipo yake...me nafurahi sana hapa,ni mambo ya mtenda akitendwa huona kaonewa sana...
Na binadamu wengi wanatabia hii anataka akikufanyia vibaya wewe umfanyie vizuri maana hayuko tayari kupokea yale yale aliyokufanyia
 
Back
Top Bottom