mangelengele
JF-Expert Member
- Nov 4, 2014
- 1,293
- 1,102
Simtetei kwa alichokifanya bali MTU akifanya kosa aadhibiwe sio kulipiziwa kisasi, hiv ingekuwa tunalipiza kisasi kila kila kosa ingekuwaje . Mf kila ukigegeda na Mimi nagegedwa hiv ungeridhika ? Kinachotakiwa kuyaongea kama imeshindoika bas
Adhabu kwa hapo inaweza kuwa nn kwa mfano? Ok, sawa ila nashukuru mungu me falsafa yangu ni moja, kuna ushahidi anakula kona, km bible inavosema. Km nmeombwa niwashauri wote wawili, km anaona Stella anafaa kuwa mke aoe mara moja, na Paulina ajaribu kumtafuta yule mpelelez aliyefiwa na mkewe.