Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
Then u are a fool in full.....Ndio najua mimi ni kichomi
But am not ready to stop anytime soon
Then u are a fool in full.....Ndio najua mimi ni kichomi
But am not ready to stop anytime soon
Anatukera tu hapa..... Sipendi mademu wenye akili za umalayaHutakiwi kujibiwa kwakuwa una flirt,subiri akukamate ndio utapata akili...
Ukishaona humuamini mtu ni bora kuachana nae. Mahusiano sio jela ya maisha useme huna la kufanya.Usiseme hana confidence sema ameloose trust on you.
Unakuwaje confident na mtu anae kuchezea akili....?!
Kabisa nikaona haina haja nikafutilia mbali,I hope vyote ulivyoona hope vyote ulivyoona vilikua zinahusu ibada, kazi na biashara
Rafiki na uzee wote huo bado unacheat?Haaa, kama ndivyo basi kiama changu kinakuja
Usijaribu achilia hapo mkuu,usijaribu shikilia hapo hapoKama wanawake wenyewe ndio hawa basi nimshike sana nilie nae
Sasa angesema amuache mkewe bila kujipa ushahidi unadhani ingekuwa ni busara.Ukishaona humuamini mtu ni bora kuachana nae. Mahusiano sio jela ya maisha useme huna la kufanya.
Heri kukaa pembeni mapema kuliko kuliko kutafuta sababu za kuchomana na gunia2 za mkaa
Shida yote ya nini!? Tumia kitochi!!Kindly let me go straight to the point,
Jamani kuna uwezekano wa mtu kupata chat zangu za watsap without my information.
I feel like nachunguzwa
My concerns ni je kweli inawezekana?bila mtu kushika simu yangu anaweza kupata chat zangu za whatsap. Muhusika ni mtu wa IT
Ameshawahi kuniambia nikifanya madudu atayajua tu na atanionyesha ushahidi.
I have been flirting here and there, sasa ameanza maneno kama vile anajua ninacho kifanya. Kama Kuna uwezekano wa kuzuia asione chats zangu pia I will be glad if I get any help.
Thank you
Useless cunt ni ya mama yako tu, yangu inatumika kama ilivyokusudiwa.Yeah healthy on your way to cheating you useless cunt. The problem is you are not life focused, u like games while life is happening.
U should know better. If u want to flirt then admire your man and flirt with him and only him.
Hata wao hawakupendi mkuu, chagua type yako stick to itAnatukera tu hapa..... Sipendi mademu wenye akili za umalaya
Above 27+ at their capacityMkuu mbona umeniandama
Wewe hujawahi kucheat?
Nimeshangazwa mnoooUsijaribu achilia hapo mkuu,usijaribu shikilia hapo hapo
hili ndio ingizo jipya la wanawake duniani,wanakwambia Flirting is Healthy
Kama unamdukua ili upate ushahidi wa kumwacha sawaaaSasa angesema amuache mkewe bila kujipa ushahidi unadhani ingekuwa ni busara.
Kuna mienendo inakufanya uchunguze yaliyomo yamoKama unamdukua ili upate ushahidi wa kumwacha sawaaa
Kwa nini ucheat? why aisee kuwa tu makini kama hamuhitaji huyo mtu acha kabisa nadhani hujawahi fahamu maumivu ya mpenzi, mme au mke kucheat na mwenzi wake akajua. Let me give you my own story, nilioa mwanamke baada ya miaka minne ya ndoa na tayari tukawa tuna watoto wawili niliamua kwenda kuongeza elimu kidogo, hivo nikatoka Arusha kuja Dar. Nikiwa chuoni mwaka wa pili mke wangu mienendo ikaanza kubadilika, kila Alhamis bibie ukipiga simu usiku hayuko nyumbani, ukiuliza anakwambia niko kwenye sendoff, sendoff kila wiki wewe ni MC hapana,Hizi habari za kudukuana nazionaga za kitoto sana. Ukiona mtu kaanza kukudukua hana confidence na wewe na hapa najiuliza kwanini asikuache tu
.
Sielewagi kwanini mtu uendelee kuwa kwenye mahusiano unayoingia gharama kubwa kuyabomoa zaidi ya kuyajenga