Hii Dunia ina kanuni, ni aitha ukubali kua mlaji ama mliwaji. Watu wengi huchagua kua waliwaji.
Huyo jamaa alichagua kua mliwaji, hana sababu ya kulalamika.
Mwanaume unachukuaje pesa zako unampa mwanaume mwingine eti aziongeze ziwe nyingi zaidi?
Acha waendelee kuliwa.
hayo maisha mazuri na icho kipato aache kuita ndugu zake akupe wewe fursa uwe tajiri kama yeye,mpaka hapo unakua hujashtuka!kumbuka sio kila mtu ana uelewa wa forex na hawa watu hua online wanapost maisha mazuri, huezi mlaumu alikua na matarajio ndo maana jeff akakubali
Bado Anawahenyesha Watao Mafanikio Ya Harakambona huyu kijana Ontario anaonekana mtu muungwana siku namuona sana Twitter
Bado Anawahenyesha Watao Mafanikio Ya Harakambona huyu kijana Ontario anaonekana mtu muungwana siku namuona sana Twitter
Hahaaaa aliwatandika humu JF ile mbaya.mbona huyu kijana Ontario anaonekana mtu muungwana siku namuona sana Twitter
Jichanganye humu jf alikimbiaga bila kupenda baada ya raia kumshtukia.mbona huyu kijana Ontario anaonekana mtu muungwana siku namuona sana Twitter
Wajinga ndio waliwao, huyo jamaa mbona habar zake za kuwaingiza watu mjini zimo sana humu jf kwann watu hamjifunzi?Naomba mnaojaribu kujiunga na izi biashara za forex muwe makini, sio kila kitu online ni cha kuamini
jamaa ni mwizi hatariJichanganye humu jf alikimbiaga bila kupenda baada ya raia kumshtukia.