LICHADI
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 4,150
- 11,198
1. Mtu yoyote ambae anatumia whatsap na kaondoa Blue tick, unapofanya Biashara na mtu kama huyu uwe makini sana kama humfaham hata hela usitume, mara nyingi watu wanaotumia mfumo huu huwa ni watata hata hela usije jaribu kumkopesha.
2. Mtu alieset whatsap yake kwa mfumo wa disappearing message uwe naye makini sana maana text huwa zinajifuta zenyewe ndani ya maaaa 24 ushahidi unapotea so mtu akiset hivyo mara nyingi huwa sio mtu mwaminifu.
3. Watu wanaotumia non-official Whatsap kama Yo WhatsApp, Gb WhatsApp, FM WhatsApp kuwa nao makini sana unapoweka deal lolote nao, wengi huwa ni wajanja wajanja, hutumia hzo whtsap kukweka kujulikana kwa mambo mengi moja wapo kuwa wapo online, maana zingine zinaondoa hata zile tiki mbili unazani mtu hayupo online kabisa kumbe anakuchora tu na pesa kashakupiga.
2. Mtu alieset whatsap yake kwa mfumo wa disappearing message uwe naye makini sana maana text huwa zinajifuta zenyewe ndani ya maaaa 24 ushahidi unapotea so mtu akiset hivyo mara nyingi huwa sio mtu mwaminifu.
3. Watu wanaotumia non-official Whatsap kama Yo WhatsApp, Gb WhatsApp, FM WhatsApp kuwa nao makini sana unapoweka deal lolote nao, wengi huwa ni wajanja wajanja, hutumia hzo whtsap kukweka kujulikana kwa mambo mengi moja wapo kuwa wapo online, maana zingine zinaondoa hata zile tiki mbili unazani mtu hayupo online kabisa kumbe anakuchora tu na pesa kashakupiga.