Jamani hapa kuna mapenzi kweli?

Ewe mwanaume hebu acha kuwa zuzu!
 
...Piga Chini! Unaingizwa Cha Kike ....!
 
🤣🤣🤣🤣
Nimevuta picha hapo analia na kulalamika unamchezea....
Hapo hamna mke... ana kitu anaficha.
Mwanamke anayekupenda na analalamika maisha magumu ma unampa option ya kuja kukaa nawe na kutafuta njia ya kumtafutia mradi wa kufanya hawezi kataa ofa...
Huyo anakutumia wewe kujinufaisha yeye na ukitimiza hilo ombi lake atakupiga tukio...
kutokana na huo muda mfupi na anavyokataa kuishi nawe ni wazi ana kitu anaficha na haumjui kabisa...
 
Ushauri wangu.
1. Yeye kukataa kuja kuishi na wewe sio vibaya kila mtu na malengo yake.
2. Wewe kumwambia ahamie kwako pia ili akupunguzie gharama hujakosea.

Binti angekua anataka kuwa independent angepambana ajitegemee hata kwa vocha chakula na kodi hata kiasi kama hana uwezo wa kujimudu.

Kama kweli una malengo nae muulize kama yuko tayari kwa ndoa. Akihamia mji uliopo atakupunguzia hizo gharama unazosema.
 
Nina demu wangu mchaga yeye anafanya kazi kiwanda cha wahindi pia, malalamiko hayo uliyoandika ni kama ya kwake, sema Mimi huwa aombi hela, tumetoka nae mbali sana na huwa namcharaza miti vibaya mnoo. Ngoja nione mwisho wa hii saga.
 
Nimejaribu kupiga chini, anatuma sana text za kulalamika na kulia lia.
Onyo
Usije ukamuoa mwanamke kwa kumuonea huruma maana utakuja lia siku moja.
Huyo anakutumia ili afanikishe mambo yake. Miaka 25 ni mwanamke mkubwa sana na ndiyo umri wa kuolewa. Siku zote weka misimamo yako kama mwanamke hataki kuifuta achana naye
 
Au ni msichana wako wa kwanza?

Binti anayefanya kazi kwa mdosi apate mtu wa kumpatia 500K kwa mwezi halafu aendelee kukuwekea vikwazo! Ni mlokole?

Kama ukimpiga chini analialia basi piga juu.

Siku akikupiga tukio hatakuangalia hata usoni.
 
Emoji!!! haha
 
Anakudanga
 
Mkuu hapo ni mkoani,arusha?? Ulizia vzuri huyo dada ajawai kuishi na mtu before na je? Ajazalishwa
 
Noma sana aisee. Na yeye hataki mkae pamoja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…