Husi mlazimishe ilitakiwa yeye ndo akulazimishe, Mwanamke alazimishwe ila yeye ndo anatakiwa akulazimishe ukajitambulishe kwao.Hela ninazo za kumhudumia lkn mm nataka ni-push huu uhusiano ufike hatua ya kuishi pamoja lkn anagoma.
Mwenzako hizo pesa unazo mtumia anafungua biashara kuchunguzaYes ni mchaga. Umejuaje?
Kijana acha papala na Mapepe tuliza akili acha pupa huyo mwanamke kasha kusoma ila wewe huja msoma badomkuu huyu mtoto ni pisi na nusu na kuna vigezo vyangu (kimuonekano na tabia kidogo) amevikamilisha. Nilikua nataka nijitambulishe kwao ili nisije kumkosa. Lakini amenikatisha tamaa kabisa.
Acha uboya...keshakuona ATM.Nimejaribu kupiga chini, anatuma sana text za kulalamika na kulia lia.
Mwanamke anakupenda sema ataki kuolewa na kuwa tegemeze kwako ndomana anaogopa kuolewa, ila anataka nae awe na maisha yake kabla ya kuingia kwenye ndoa. ndomana anakuambia ni mapema alafu muda mmekutana bado mapema kumwambia mwanamke maswala ya ndoa.Huyu mwanamke nilikutana nae miezi mitatu iliyopita nikiwa katika harakati zangu za kikazi mkoa flani. Alinivutia muonekano wake na tabia (napenda wanawake wapole). Tukaanza mahusiano baada ya wiki mbili za kufahamiana. Mkoa aliopo anaishi kwa ndugu.
Umri ana miaka 25. Anafanya kazi kiwanda cha wahindi. Hawamlipi vizuri kutokana na maelezo yake na kazi anafanya siku sita za wiki, masaa 12 kwa siku. Hua anapewa siku moja tu ya kupumzika. Kwahyo ili tuwe tunaonana inalazimika mimi ndio niwe nasafiri kila napopata nafasi kwa vile tunaishi mikoa tofauti ni umbali wa masaa matatu kati yetu.
Tatizo binti shida hazimkauki. Binti anaomba sana ela. Kuanzia pesa ya nauli ya kwenda na kurudi kazini. Vocha. Kula. Mahitaji yake yote lazima aombe kubustiwa. Nimepiga hesabu kwa wiki pesa ndogo akiomba ni elfu 80, hua haipungui hapo. Sasa hivi ameomba nimpangie chumba nimnunulie na furniture ili tuwe tunakutana kwa uhuru tofauti na hivi tunavyokutana lodge kila nikija.
Kwahiyo nilimkalisha chini. Mshahara wangu haujui lakini ni zaidi ya mara tisa ya ule anaopokea yeye. Nikampa wazo anipe utaratibu nikajitambulishe kwao wanijue. Then aje tuishi wote huku tukitafta project iwe ya biashara au chochote ambacho ataweza kufanya akiwa huu mkoa niliopo mimi kuliko kuendelea kufanya kazi ambayo haimlipi huku akizidi kuniingizia unnecessary costs. Mipango ya ndoa then iendelee.
Amegoma katakata. Anadai kwa sasa kuishi na mwanaume ni mapema mno. Anataka kua independent awe na chumba chake, afanye kazi zake na maisha mengine. Nimemuambia kama haiwezekani basi kila mtu aendelee na maisha yake kuliko kupotezeana mda. Analia. Analalamika nimemchezea. Eti simpendi na simjali na nimebadilika! Binafsi nimeshindwa kumuelewa!
Tatizo siyo kukataa kuolewa tatizo yeye kutaka kupagiwa chumba na kununuliwa vitu vya ndani, vijana ambao hawaja owa wanashangaa ni jambo gani kwa jamii yetu kijana ambaye hajao kumpangia chumba mpenzi wake na kumnunulia vitu vya ndani na kumpa pesa za matumizi ni maajambo, yani ata mimi kama mzazi niende kwa binti yangu nikute kapanga chumba cha bei kubwa na ana vitu vya gharama na mshahara wake wa mbuzi lazima nitajua ana jiuza ni kahaba tu.huyo binti atafute mume wa mtu ndiyo atafanyiwa hayo anayo yataka kwasababu atakuwa mchepuko wa mume wa mtu, lakini kwa kijana ambaye hajaoa hawezi kukubali kufanywa dodocha.Kwann mm ndo nifate yako na kwann we usifate yangu wakti wew ndo ulinitongozaaa kuna design ya wanawake hawapendi kuendeshwa kbs yaan bora tuelewana sio kunipelekesha my dear
Kodi ya bure kivipi wakati yeye anaishi.Hawa viumbe ni kuishi nao Kwa akili mkuu. Mimi ninae mmoja, wakati namtongoza alikua anaishi na dada yake. Baadae akaniambia anataka kupanga Kwa sababu mdogo wake anakuja na angependa aishi nae. Nikampa Hela ya kupanga ila kushangaza imepita miezi miwili sioni mdogo wake akija. Nimepiga pin kwake anaenda Kwa mwezi mara Moja na kodi analipa mwenyewe. Nimemuachs aendelee kulipa Kodi ya bure mpaka akili yake imkae sawa lakini siwezi kulipa Kodi wakati nyumba ninayo
Wapo jaribu kuwa na wapenzi zaidi ya watatuBlaza blaza kumpata mtu anaejielewa wa kumuoa ni kazi nimeamini
Anajenga huyo kijijini kwaoAnasema yupo tayari kwa ndoa lkn mpaka akiwa na kwake.
Mwingine huyu hapa! Utazeekea nyumbani,endelea na msimamo wako huo huo!Anaekupenda bhna wengne tu hatupendi kuolewa kabsaa ila kupenda tuna fall kabsa shida inakuja pale unaponiambia uniweke ndani uwiiiiiiiiiiiii!!!!! Sitaki kbs
Sa unalia nini kama ana vigezo vyako, kama anazingua tangulia mwenyewe kwao kajitambulishe🤣🤣mkuu huyu mtoto ni pisi na nusu na kuna vigezo vyangu (kimuonekano na tabia kidogo) amevikamilisha.
Mpaka hapo hujaelewa tu? Wala hukuhitaji kuja hukuAmegoma katakata. Anadai kwa sasa kuishi na mwanaume ni mapema mno. Anataka kua independent awe na chumba chake, afanye kazi zake na maisha mengine.
Single mother mtarajiwa huyo.Huyu mwanamke nilikutana nae miezi mitatu iliyopita nikiwa katika harakati zangu za kikazi mkoa flani. Alinivutia muonekano wake na tabia (napenda wanawake wapole). Tukaanza mahusiano baada ya wiki mbili za kufahamiana. Mkoa aliopo anaishi kwa ndugu.
Umri ana miaka 25. Anafanya kazi kiwanda cha wahindi. Hawamlipi vizuri kutokana na maelezo yake na kazi anafanya siku sita za wiki, masaa 12 kwa siku. Hua anapewa siku moja tu ya kupumzika. Kwahyo ili tuwe tunaonana inalazimika mimi ndio niwe nasafiri kila napopata nafasi kwa vile tunaishi mikoa tofauti ni umbali wa masaa matatu kati yetu.
Tatizo binti shida hazimkauki. Binti anaomba sana ela. Kuanzia pesa ya nauli ya kwenda na kurudi kazini. Vocha. Kula. Mahitaji yake yote lazima aombe kubustiwa. Nimepiga hesabu kwa wiki pesa ndogo akiomba ni elfu 80, hua haipungui hapo. Sasa hivi ameomba nimpangie chumba nimnunulie na furniture ili tuwe tunakutana kwa uhuru tofauti na hivi tunavyokutana lodge kila nikija.
Kwahiyo nilimkalisha chini. Mshahara wangu haujui lakini ni zaidi ya mara tisa ya ule anaopokea yeye. Nikampa wazo anipe utaratibu nikajitambulishe kwao wanijue. Then aje tuishi wote huku tukitafta project iwe ya biashara au chochote ambacho ataweza kufanya akiwa huu mkoa niliopo mimi kuliko kuendelea kufanya kazi ambayo haimlipi huku akizidi kuniingizia unnecessary costs. Mipango ya ndoa then iendelee.
Amegoma katakata. Anadai kwa sasa kuishi na mwanaume ni mapema mno. Anataka kua independent awe na chumba chake, afanye kazi zake na maisha mengine. Nimemuambia kama haiwezekani basi kila mtu aendelee na maisha yake kuliko kupotezeana mda. Analia. Analalamika nimemchezea. Eti simpendi na simjali na nimebadilika! Binafsi nimeshindwa kumuelewa!