MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha, Mashehe bwana, ha ha ha ha ha,
Takbir
Tujaribu kutafautisha "Uarabu" na "Uislamu". Hiyo wanayocheza ni ngoma ya kienyeji ya Waarabu (ambao kuna Wakristo, Waislamu na Wayahudi). Mavazi waliyovaa ni mavazi asilia ya Kiarabu.
Uislam ni uarabu na Waarabu ni waislam.
Uislam ni uarabu na Waarabu ni waislam.
... unang'ang'ania Bongo mno na weye.. hebu jaribu kutembea.. au walau kuuliza watu waliokwishafika nchi za "kiarabu" za Jordan, Syria, Lebanon, na Iraq.........View attachment 37868.......View attachment 37869...................... Hizi Dini wenyewe wako Middle East, sisi huku ni wavamizi tu. Na huko chokochoko hakuna. Wenyewe wanaazimana na chumvi.
Usiwe mjinga hata unapoelimishwa kijana. Wewe ina maana hata hujui hiyo dini unayofuata asili yake ni wapi, loh!
Waarabu wako jamii ya waislamu na wakristo, na wote mavazi yao ni ya aina moja (kanzu, kilemba.....) kama huku kweetu wanavyovaa lubega, kanga, kaniki...
Ahh kumbe Palestina nchi ya Israeli.
Tujaribu kutafautisha "Uarabu" na "Uislamu". Hiyo wanayocheza ni ngoma ya kienyeji ya Waarabu (ambao kuna Wakristo, Waislamu na Wayahudi). Mavazi waliyovaa ni mavazi asilia ya Kiarabu.
Uarabu na Uislamu hautenganishwi!!
sawa na ukatoliki na uroma,lol
Au uendawazimu na uCCM.