Mkome, mlivyomfanya inatoshaTunaka kumjulia hali hatumpeleki tena Mabwe Pande
Tabia zao zikoje ?Usiwakumbushe watu ule mgomo wa madaktari pale Muhimbili watu wengi walipoteza maisha kwa kukosa Huduma na iliumiza sana watu wa chini.
Wengi wenye uwezo waliwatoa wagonjwa wao na kuwapeleka hospital za kulipia.
Dr Ulimboka anajua mwenyewe na familia yake alipo wala sitaki kabisa kulisikia hilo jina.
Nakumbuka nimewahi kufanya kazi na kaka yake naye ni Daktari pia tabia zao zinafanana.
Hata Mimi sishabikii Kuteswa kwa binadamu yoyote hivi utajua ule mgomo uligharimu Maisha ya watu wangapi? Tuliokuwa tunauguza kipindi kile ndo tunajua uvhunguInafurahisha sana kuona watu wanamcheka na kumkebehi Dr. Ulimboka. Ya Mungu mengi, naamini wale aliokuwa anawapigania dhamira zao zitawahukumu milele. Tusishabikie fujo na mabavu, mbona Kenya madaktari wamegoma miezi mitatu sasa na hakuna aliyekatwa korodani? Hatuoni aibu kwamba wenzetu wanasuluhisha mambo yao kistaarabu? Kumtesa mtu kwa kudai haki yake ni ujima wa hali ya juu.
Kamwe sitashabikia mateso kwa watu wanaodai haki zao. Watu waliozoea kutesa hawachagui. Juzi ilikuwa kwa daktari, leo kwa mwanamziki, kesho mwanasiasa, kesho kutwa mshabiki wa siasa, wiki ijayo zamu ya wafanyabiashara, mwezi ujao zamu ya wakulima. Tukemee vyombo vya dola vinavyofanya kazi kihuni(e.g. sodomy), hakuna kiumbe-hata mbuzi, anayestahili kufanyiwa hivyo.
Tumepoteza ndugu wasiokuwa na hatia kufuatia ule mgomo ulioendeshwa na Dr UlimbokaT
Tabia zao zikoje ?
Watanzania wanakufa kila siku kwa magonjwa yanayotibika sababu ya huduma mbovu za hospitali zetu. Hupati huduma bora bila kutoa rushwa. Ni kama kuna passive resistance. Ni heri watu wagome wasiende kazini kuliko wakaenda halafu wakafanya kazi kwa kinyongo. Ule mgomo ulikuwa na faida moja kubwa-ulifungua mjadala wa kitaifa kuhusu huduma za Afya. Tulikuwa na fursa ya kurekebisha tatizo hilo once and for all. Haikutumika ipasavyo.Hata Mimi sishabikii Kuteswa kwa binadamu yoyote hivi utajua ule mgomo uligharimu Maisha ya watu wangapi? Tuliokuwa tunauguza kipindi kile ndo tunajua uvhungu
Watu mnaongea utani kwa jambo serious km lile.....
Sikubaliani kwa alichofanyiwa kwa sababu tu ya kudai haki za madaktari.......
Leo kwake kesho kwa wengine.....ni uovu kutetea kutekwa na kutesa.......baada ya ulimboka ccm walipoona hakuna wa kuwakataza sasa wanaendelea kuteka na kutesa.....si unajua tena ukila nyama ya mtu
Harakati zimekwamishwaYupo, mwenye afya njema, akiendelea na shughuli zake
Nae akaufyate siyo kujifanya kidume..!Mkome, mlivyomfanya inatosha
Acha dhihaka! Hujui ya keshoAlichaniwa marinda, ahahah .![]()
![]()
![]()
Kwa hiyo wewe uliyepoteza ndugu yako kutokana na mgomo unasemaje ni vema yale aliyofanyiwa Dr. Ulimboka?Ungekuwa ulipoteza Ndg yako wa karibu kwny ule Mgomo usingeandika ulichoandika
lakini wao nao si walikuwa na madai yao?Tumepoteza ndugu wasiokuwa na hatia kufuatia ule mgomo ulioendeshwa na Dr Ulimboka
Watanzania wanakufa kila siku kwa magonjwa yanayotibika sababu ya huduma mbovu za hospitali zetu. Hupati huduma bora bila kutoa rushwa. Ni kama kuna passive resistance. Ni heri watu wagome wasiende kazini kuliko wakaenda halafu wakafanya kazi kwa kinyongo. Ule mgomo ulikuwa na faida moja kubwa-ulifungua mjadala wa kitaifa kuhusu huduma za Afya. Tulikuwa na fursa ya kurekebisha tatizo hilo once and for all. Haikutumika ipasavyo.
Nasikitika kwa mliopoteza wapendwa wenu kwa sababu ya mgomo. Mimi pia ni mhanga wa huduma mbovu za afya-nimepoteza ndugu kwa sababu ya magonjwa ambayo yanaweza kudhibitiwa. Hata hivyo sion kama ni busara kushabikia violence kwa sababu ya mtu anayedai haki yake. Pia kumbuka migomo haiepukiki-ndio maana ikatungiwa sheria. Serikali inatambua kwamba ni haki ya mfanyakazi kugoma. Lakini hakuna popote ambapo serikali inampa raia haki ya kuteswa na kujeruhiwa na dola. Hoja yangu inatokana na ukweli kwamba wapenda vurugu hawana mipaka. Wewe pia ni mhanga mtarajiwa wa yaliyomkuta Ulimboka.
Kwa hiyo wewe uliyepoteza ndugu yako kutokana na mgomo unasemaje ni vema yale aliyofanyiwa Dr. Ulimboka?
Kwa hiyo wewe uliyepoteza ndugu yako kutokana na mgomo unasemaje ni vema yale aliyofanyiwa Dr. Ulimboka?