feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 8,532
- 17,213
Mkuu hayo yote ni maandalizi ya kubadili ukomo wa urais kwenye katiba we chunguza tu wateule wa sasa utaelewa kitu.
Huyu jamaa katili Sana, Wana CCM wenzangu Bora Jimbo analogombea liende upinzani. Huyu Ighondu ni zaidi ya ibilisi.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app