Jamani, Dr. Ulimboka yuko wapi siku hizi?

Jamani, Dr. Ulimboka yuko wapi siku hizi?

Wana jamvi,

Naomba kuuliza alipo Dr. Ulimboka. Mara ya mwisho nilimsikia alivorudi toka matibabu. Tukasubiri press conference lakini hadi leo sijasikia allishia wapi.

Mtu yeyote mwenye kujua huyu bwana yuko wapi na anafanya nini sasa hivi anisaidie.
Labda wengine mtaniuliza kwanini nauliza au ananihusu nini.

Kiukweli nimemkumbuka tu kama binadam mwenzangu na kwa vile habari zake zilivuma enzi hizo sio vibaya kujua anaendeleaje huko alipo.
marinda si mchezo.watu wakimsikia watakuwa wana mtania si tena kama zamani wakiona mkombozi
 
Uyo mjinga kwa kipigo kile...sidhani kama atakufa tena.
Ila ilisaidia sana walivomkomesha mana mgomo uliisha
daaaah bro Huna hata huruma kama Israel mtoa roho. Hata kama jamaa alikosea but kushangilia kipigo kile yataka moyo sana. Mi kuua mdudu najisikia vibaya itakua binadam.
Hata kama yeye aliua kwa mgomo wao ni vizuri kusamehe ili ijulikane nani mjinga.
 
daaaah bro Huna hata huruma kama Israel mtoa roho. Hata kama jamaa alikosea but kushangilia kipigo kile yataka moyo sana. Mi kuua mdudu najisikia vibaya itakua binadam.
Hata kama yeye aliua kwa mgomo wao ni vizuri kusamehe ili ijulikane nani mjinga.
Hapana mkuu sijafurahia. Ila nimesema kwa kipigo kile halafu akanusurika...sidhani kama atakufa tena.
 
Haha alikua hana kiwanja

Hata alipopotea walikuwa wameenda kumwonyesha kiwanja chake kama wale watu wa mafuriko

Ulimboka2.jpg
 
Yupo salama salmin hana shida yoyote pia hamna tatizo coz he is a good citizen now
 
Back
Top Bottom