Jamani DIT mtatuua

Jamani DIT mtatuua

Nimepiga Agrobusiness kitu matata tena bonge la CR sibabaishwi na UD wa DIT zote zion tu hizo.
Agrobusiness au Agricultural Economics and Agribusiness? uCR kwangu siyo issue, hakuifanyi program kuwa ngumu au rahisi.
 
Yani chuo kama advance bana,yani msuli kama upo skuli jamani kah, tuhurumiane....chuo masomo mengi, malecture jau, sheria kali, hapa hakuna viboko tu ila ni kama shule....
Mkuu,mm nilisoma Mwenge Catholic University (Mwecau),huo msuli wa hapo kwako ni cha mtoto...,jitahd tu uvumilie!
 
acha kukariri unaijua DIT wewe au unaongea tu? hao wa UDSM wana nn cha ziada kuliko DIT acha kukariri kijana
Huko DIT wengi vilaza mkuu, sio wote but wengi vilaza wale wa kuunga unga elimu.

Mtu alipata four advance anakwambia yupo DIT anasoma engineering
 
Huko DIT wengi vilaza mkuu, sio wote but wengi vilaza wale wa kuunga unga elimu.

Mtu alipata four advance anakwambia yupo DIT anasoma engineering
alipata 4 anasoma bachelor au diploma ? acha unaaa wewe, udsm ni university DIT ni institute sawa na ilivyo Coet
sasa ukitaka kuleta ubishi njoo na COET sisi tukuletee DIT
 
Huko DIT wengi vilaza mkuu, sio wote but wengi vilaza wale wa kuunga unga elimu.

Mtu alipata four advance anakwambia yupo DIT anasoma engineering

una uhakika unachokiongea? au sababu tu unasikia kwa mtu
 
Agrobusiness au Agricultural Economics and Agribusiness? uCR kwangu siyo issue, hakuifanyi program kuwa ngumu au rahisi.
Yote kwa yote SUA bonge la chuo. DIT na UDSM zion tu.....me ndo CR wa SUA bwana chuo chenye hadhi ya kimataifa.
 
Yani chuo kama advance bana,yani msuli kama upo skuli jamani kah, tuhurumiane....chuo masomo mengi, malecture jau, sheria kali, hapa hakuna viboko tu ila ni kama shule....
Hauko serious mkuu kama unaona DIT pagumu kuliko mtaani njoo huku uraiani uone misuli inavyokazwa
 
Back
Top Bottom